Raraa reree

Raraa reree

Huyu mtu mbona kila kitu ana like? hata kama hamna mazingira ya ku like yeye unakuta kuweka like! Huyu vipi?
 

Attachments

  • 1000020485.jpg
    1000020485.jpg
    12.1 KB · Views: 1
Humu kila MTU ana kazi yake!

Trust me tunajuana sana kuliko unavyowaza!
Public entry internet Ina ku spin location vizuri tu,

Be humble and speculative in narrating a phenomenon!

End with this signature;-

Work and dignity,we move forward!
 
Hana makuu.
Na ukikuta ame comment au kuandika chochote, kinakua na tija.

Ila katika mazingira yoyote na kwa namna yoyote ile, atahakikisha anagawa like kwa kila kinachokuja mbele yake, ana kitu, sio jambo dogo, kuna watu sio tu hawatoi like, anaweza mchukia anaekupa like jukwaani kwa fake ID....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom