Cowboy Member Joined Sep 23, 2010 Posts 27 Reaction score 2 Nov 7, 2012 #1 Nahitaji kwa mtu mwenye program inayoweza ku-crack files zilizokuwa protedted na password za .zip or .rar anisaidie aukama ana password ya Winrar_Pwd_Hacker_v6 program
Nahitaji kwa mtu mwenye program inayoweza ku-crack files zilizokuwa protedted na password za .zip or .rar anisaidie aukama ana password ya Winrar_Pwd_Hacker_v6 program
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,060 Reaction score 43,477 Nov 7, 2012 #2 usisumbuke mkuu only brute force can crack rar na inaweza chukua mwezi hadi mwaka kucrack password moja
usisumbuke mkuu only brute force can crack rar na inaweza chukua mwezi hadi mwaka kucrack password moja
SuperImpressor JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 1,505 Reaction score 649 Nov 7, 2012 #3 Hapo sasa ndipo nikifika nachoka na waafrica tusivyo wavumilivu wazee wa vitu mtelemko siku zote hizo!
Hapo sasa ndipo nikifika nachoka na waafrica tusivyo wavumilivu wazee wa vitu mtelemko siku zote hizo!
Cowboy Member Joined Sep 23, 2010 Posts 27 Reaction score 2 Nov 7, 2012 Thread starter #4 Owk then, I guess it's a dead end! Thanx for the replies!!
N Nyasiro JF-Expert Member Joined Feb 20, 2012 Posts 1,201 Reaction score 551 Nov 7, 2012 #5 Cowboy said: Owk then, I guess it's a dead end! Thanx for the replies!! Click to expand... nini hivyo kilicho ndani ya hiyo zip? kiseme unaweza patiwa mbadala wa kukipata
Cowboy said: Owk then, I guess it's a dead end! Thanx for the replies!! Click to expand... nini hivyo kilicho ndani ya hiyo zip? kiseme unaweza patiwa mbadala wa kukipata