ngoja tuwaite kaka zetu moto2012 na Mzee Tupatupa, moto utatokea hapaumeona enh!analitafuta balaa huyu!
ngoja tuwaite kaka zetu moto2012 na Mzee Tupatupa, moto utatokea hapa
huyo @VUTA NIKUVUTE saa hizi atakuwa kaamka kweli?umemsahau @vuta nikuvute
sa si ananisololea kwa spidi hiv,kwa hyo anataka kujua mizungu yangu inapungwa na nini!nikamwambia nina mivuje mingi labda we unaweza kumuazima daftari la nukuu za somo(notes)angalau anaweza akasema na kiti wangu!
Bro hana aibu huyo
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
Boflo mizungu ya wakubwa zako achana nayo, sawa mdogo wangu? na maadam ni mvivu wa kusoma daftari bhaaaas itabidi ukajifunzie mtaani ila sio kwa mwalimu wangu snowhite....namjulia mwenyewe....sa si ananisololea kwa spidi hiv,kwa hyo anataka kujua mizungu yangu inapungwa na nini!nikamwambia nina mivuje mingi labda we unaweza kumuazima daftari la nukuu za somo(notes)angalau anaweza akasema na kiti wangu!
View attachment 67146
.........
That son of a gun! afu kana speed ako
View attachment 67146
.........