Sijaipata Ila naulizia nifahamu mana nimepata option ya kuhamia ya taasis mbili za serikl mojawapo hio ndio natk nilinganishe ili nijue niende wap kat ya nhif au Hy taasisHongera mkuu kwa kupata hiyo nafasi.
Ngoja waje kukupa muongozo
Sasa hiyo nyingine mbona huitaji. Taja zote tukushauri vizuri.Sijaipata Ila naulizia nifahamu mana nimepata option ya kuhamia ya taasis mbili za serikl mojawapo hio ndio natk nilinganishe ili nijue niende wap kat ya nhif au Hy taasis
PsssfSasa hiyo nyingine mbona huitaji. Taja zote tukushauri vizuri.
Psssf
Mkuu nenda NHIF.. maswala ya mshahara hayo utakuja kunishukuru baadae.Sijaipata Ila naulizia nifahamu mana nimepata option ya kuhamia ya taasis mbili za serikl mojawapo hio ndio natk nilinganishe ili nijue niende wap kat ya nhif au Hy taasis
Ok Sawa nimekuelewa.Mkuu nenda NHIF.. maswala ya mshahara hayo utakuja kunishukuru baadae.
NHIF au Psssf?Nenda Kafanye Kazi Kule Hakuna Njaa Cash Zao Zimenyooka
NHIFNHIF au Psssf?
Jamaa hajawajua NHIFNHIF
Siwajui ndio mana nikaomba ushauri niweze kufanya maamuz. Ndio mana nikataka nijue atleast range ya basic salary na fringe benefits zingine Kama zpJamaa hajawajua NHIF
Bila shaka umepata muongozoSiwajui ndio mana nikaomba ushauri niweze kufanya maamuz. Ndio mana nikataka nijue atleast range ya basic salary na fringe benefits zingine Kama zp
Njoo inbox plsHabari wadau. Naomba kujua range ya basic salary ya Mhasibu level ya degree wa NHIF. Naomba kuwasilisha
Umewezaje kupata transfer?Habari wadau. Naomba kujua range ya basic salary ya Mhasibu level ya degree wa NHIF. Naomba kuwasilisha
Mshahara wa Gavana BOT huoHaiwezi kuwa chini ya 3.7mil kama unaanza ila kama mzoefu nahisi kweny 4.2mil ila kati ya hao NHIF na NSSF kuna mpaka 6mil kama sinakosea ila sijajua yupi inagawa mmona wapo hapo
Gavana wa BoT ? Huna exposureMshahara wa Gavana BOT huo