Range ya basic ya Mhasibu level ya degree NHIF

Range ya basic ya Mhasibu level ya degree NHIF

Gavana parefu sana sio hapo ni siri huwezi jua
Hakuna siri ya mshahara Serikalini

Siri ni malupulupu tu na safari za kimya kimya

Mishahara ya serikali ipo wazi kwa kila level

Ndio maana watu wanaacha ukurugenzi BOT kwenda Bank za Kawaida kuwa wafanyakazi ili wapate pesa zaidi
 
Haiwezi kuwa chini ya 3.7mil kama unaanza ila kama mzoefu nahisi kweny 4.2mil ila kati ya hao NHIF na NSSF kuna mpaka 6mil kama sinakosea ila sijajua yupi inagawa mmona wapo hapo
Asante kwa taarifa hizi
 
Umewezaje kupata transfer?
Mimi mwenzio nimechoka kufanya Kazi halmashauri, Nahitaji kuhama hata leo.

Tupeane CONNECTION basi.

#YNWA
Mchakato niliuanza muda kwel tangu mwaka WA fedha 2018/19. Nikajibw endapo nafasi ikitokea ntajulishwa. 2019/20 nikaomba tena na 2020/21 nikaomba tena ndio SA hv mwanga umepatikana. . Niliandika barua ya kuomba kuhamia nikapitisha MWA mwajiri wangu nikapeleka kote. Nilijibiwa hakuna nafasi Niliandika karb mara tatu. Ni kujaribu na kutokata tamaa
 
Hakuna siri ya mshahara Serikalini

Siri ni malupulupu tu na safari za kimya kimya

Mishahara ya serikali ipo wazi kwa kila level

Ndio maana watu wanaacha ukurugenzi BOT kwenda Bank za Kawaida kuwa wafanyakazi ili wapate pesa zaidi
Huwa wanalipwa zaidi. Kuwa BOT sio shida mzee. Kuna private companies zinalipa milioni 20, milioni 36, million 45 na bado sio CEO.
BOT is just a brand bwana mdogo
 
Umewezaje kupata transfer?
Mimi mwenzio nimechoka kufanya Kazi halmashauri, Nahitaji kuhama hata leo.

Tupeane CONNECTION basi.

#YNWA
Daaahh, ebu jaribu kumuachia mwenzako(aliye kitaa) hiyo kazi kwa muda wa mwezi mmoja tu. Halafu uje ulinganishe kukaa bila kazi (hasa ukiwa huna chanzo cha uchumi) na kuchoka kufanya kazi Halmashauri.

Nina imani utagundua kuwa kufanya kazi Halmashauri ni bora kuliko kukaa bila kazi.

Kwa hiyo usichoke maana wapo wengi wanaimezea mate hiyo nafasi yako
 
Daaahh, ebu jaribu kumuachia mwenzako(aliye kitaa) hiyo kazi kwa muda wa mwezi mmoja tu. Halafu uje ulinganishe kukaa bila kazi (hasa ukiwa huna chanzo cha uchumi) na kuchoka kufanya kazi Halmashauri.

Nina imani utagundua kuwa kufanya kazi Halmashauri ni bora kuliko kukaa bila kazi.

Kwa hiyo usichoke maana wapo wengi wanaimezea mate hiyo nafasi yako
Binadamu mwenye mafanikio ni yule aliyetamani vya juu yake na binadamu mwenye MAFANIKIO ZAIDI ni yule aliyetamani ZAIDI VYA JUU YAKE ZAIDI.

Kama umesoma ECONOMICS tafuta, soma na ielewe THE LAW OF UTILITY AND SATISFACTION.

simply...
The UTILITY IS NOT MARGINAL.
Kifupi mtu hutamani zaidi akipata cha zaidi na huendelea kutamani zaidi na zaidi.

Unajua kwanini?

Sababu:- in a rational way human are always mean.

#YNWA
 
Mchakato niliuanza muda kwel tangu mwaka WA fedha 2018/19. Nikajibw endapo nafasi ikitokea ntajulishwa. 2019/20 nikaomba tena na 2020/21 nikaomba tena ndio SA hv mwanga umepatikana. . Niliandika barua ya kuomba kuhamia nikapitisha MWA mwajiri wangu nikapeleka kote. Nilijibiwa hakuna nafasi Niliandika karb mara tatu. Ni kujaribu na kutokata tamaa
Huna connection yoyote?

#YNWA
 
Nenda kafanye kazi katumikie utumishi wa umma. Usipende sana kuweka maslahi ya pesa mbele ktk utumishi wa umma
 
Binadamu mwenye mafanikio ni yule aliyetamani vya juu yake na binadamu mwenye MAFANIKIO ZAIDI ni yule aliyetamani ZAIDI VYA JUU YAKE ZAIDI.

Kama umesoma ECONOMICS tafuta, soma na ielewe THE LAW OF UTILITY AND SATISFACTION.

simply...
The UTILITY IS NOT MARGINAL.
Kifupi mtu hutamani zaidi akipata cha zaidi na huendelea kutamani zaidi na zaidi.

Unajua kwanini?

Sababu:- in a rational way human are always mean.

#YNWA
Sawa mkuu, kikubwa tuwe na tahadhari tunavyotani vya juu ili tusije vipoteza vile vya chini.

Ndugu zangu Wachumi mnipe muongozo wa maneno haya niliyoambiwa hapa
 
Oa kwanza ndiyo tukuhamishe
Hoya kama una connection NIPE MSAADA basi man.

Hata pesa nitatoa ukifanikisha.

Japo naongoza kitengo cha Halmashauri ila NIMECHOKA KUFANYA KAZI HALMASHAURI BALAA.

Sitaki halmashauri yoyote, nahitaji kuhama kabisaa niondoke TAMISEMI.

#YNWA
 
Hoya kama una connection NIPE MSAADA basi man.

Hata pesa nitatoa ukifanikisha.

Japo naongoza kitengo cha Halmashauri ila NIMECHOKA KUFANYA KAZI HALMASHAURI BALAA.

Sitaki halmashauri yoyote, nahitaji kuhama kabisaa niondoke TAMISEMI.

#YNWA
Upo wap
Na unataka kuhamia wap
 
Back
Top Bottom