Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,566
nyingine inaitwa Bhoom 3 kacheza kama jambazi anaibia mabenki,wako na pacha wake...tamu balaa hiyo
Leo nairudia tenaHuwezi kuichoka hii movie...
Virus: Mr. Raju Rastogi?
Raju: Present sir! oooh is everybody here!
.......
.......
Rancho: Induction motor sir
Virus: Mr Raju Rastog
Raju: Yes sir
Virus: can u tell us how induction motor starts?
Raju: mbriiii mbriii mbriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Virus: stop
Raju: mbriiii mbriiii
ni noma
The best movie of all time3 idiots : one of the best movie which taught a lesson to most people!
Me nampenda Raju, ukiangalia sura yake tu unachekaa. AiseeAaal iiis vell! Sikujua tunaopenda 3Idiots tupo wengi hivi! Mleta mada, kula like yangu mkuu. Best movie ever!.....Born in Uganda, grew up in Pondicheri, so a little slow in Hindi! Tuchuka tuchuka! Silencer, my best character!
Unakumbuka alivyyoitwa ofisini kwa Virus kwa kosa la kuvamia harusi?!?You have made my day mkuu!
Ile sura kama anataka kulia, kama anataka kucheka!
Ila nadhani ilikuwa ni lengo la director kumtumia mtu mwenye sura ile kuonyesha mtu anayepitia maisha kama ya Raju Rastogi anakuwaje, maana he was under constant pressure throughout the movie - from his demanding mother, unwed sister, sick dad, Virus, how to keep up with his less pressured friends etc. The dude's life was really messed up!
Yule mshenzi anakwambia kanuni ya kuwa wa kwanza drasani ni either usome saaana Ku upgrade maksi zako au ufanye kitu cha kupunguza maksi za wenzio , mshenzi ikifika kipindi cha mitihani anatembeza porno magazines kwa every room mmamamameeeeeeKuna yule Silencer...... Ni hatari kwa mazingira,mchafuzi wa hali ya hewa
Ghajin is my favourite movie all the timeGhajini
Dhoom 3
Lagaan
Pk
Virus anatoa Pen huku Amalia ahahahahhaOne of the Best films hasa kwa Wanafunzi na waalimu...!! Wazazii pia wanaopenda kutaka watoto zao wasome vitu wasivyowezaa... Marafiki wa kuwa naoo.. Rancho smart sana aisee duuh...Mpaka virus alinyoosha Mikonooo
Yanii balaa sana... Sema mwanafunzi mwenye akili ukikuta ni Bad boy aisee unaweza mind lakini daah mwisho wa siku unakubali tuu..!! Sawa na wewe ukiwa na akili home kidogo unapotezewa hata ukifanya ujingaVirus anatoa Pen huku Amalia ahahahahha
Wale wajinga walimkomesha, wamevamia harusi ya mwanae, wakaiba pepa, all in all wakamzailisha mwanae DUH
Nilicheka siku hiyo yamechelewa pepa wanaambiwa muda umeisha wanaendelea wamemaliza anauliza Sir, do you know us? Do you know our names sasa mwenyewe msimamiaji hawaelewi anasema who are you? Minister's son? Even so I won't take your paper. Akachukua na karatasi za wenzie akavuruga na nyingine af ndukii..invigilator kabaki anatoa machoVirus anatoa Pen huku Amalia ahahahahha
Wale wajinga walimkomesha, wamevamia harusi ya mwanae, wakaiba pepa, all in all wakamzailisha mwanae DUH
Silencer alimwambia Sirrrr they're still writingNilicheka siku hiyo yamechelewa pepa wanaambiwa muda umeisha wanaendelea wamemaliza anauliza Sir, do you know us? Do you know our names sasa mwenyewe msimamiaji hawaelewi anasema who are you? Minister's son? Even so I won't take you paper. Akachukua na karatasi za wenzie akavuruga na nyingine af ndukii..invigilator kabaki anatoa macho