Ramani za nyumba za kisasa zaidi

Ramani za nyumba za kisasa zaidi

Umeona wanavyoweka matangazo wenzio wanaojua wanachokifanya hawana muda wa kubishana na wateja wao kazi tu. Wewe uko busy kibishana nao wakati ndo wateja wako wenzio wanakufanya zuzu.


#we design
#we build
#we renovate
a three bed room house designs by 0654874702
contents
-master bed room with a dressing room
-two bed rooms(one self contained)
-studying room
-public washroom
-kitchen
-store
-dinning
-sitting room
-entry & kitchen veranda
#archdesigns#housebuilders#kijiko
***0654874702***


Unafikiri mtu kama huyo ataulizwa maswali ya kibuuzi kama inavyoulizwa wewe. View attachment 822957View attachment 822958View attachment 822959View attachment 822960View attachment 822961
Safi sana mkuu...

Dogo mleta uzi, huu ni ushauri mzuri sana kwa career yako usikilize!
Usilete ujuaji kwenye utafutaji.
Kuna wajuzi zaidi yako.
 
Umeona wanavyoweka matangazo wenzio wanaojua wanachokifanya hawana muda wa kubishana na wateja wao kazi tu. Wewe uko busy kibishana nao wakati ndo wateja wako wenzio wanakufanya zuzu.


#we design
#we build
#we renovate
a three bed room house designs by 0654874702
contents
-master bed room with a dressing room
-two bed rooms(one self contained)
-studying room
-public washroom
-kitchen
-store
-dinning
-sitting room
-entry & kitchen veranda
#archdesigns#housebuilders#kijiko
***0654874702***


Unafikiri mtu kama huyo ataulizwa maswali ya kibuuzi kama inavyoulizwa wewe. View attachment 822957View attachment 822958View attachment 822959View attachment 822960View attachment 822961
Nadhani reply yako ameiona ndio maana kapotea.
 
Mleta uzi ni Mpumbavu kiasi kwamba hujawahi kugundua hilo "Nikuoneshe ukajenge" hivi kwa ufahamu wako unahisi wewe ndiye una ramani za watu bila wewe watu hawawezi kujenga nyumba?

Na hako karamani kama banda la bundi unaringa na kutoa kauli mbovu hivyo! Hatukatai kuwa ni taaluma ila unavyodhani wewe ukionesha hiyo ramani kwa usahihi basi nyumba zote nchini zitakuwa kama hako kabanda kako.

Jaribu kuwaza hata kwa kutumia maji kama akili hauna za kutosha. Pumbavu sana.
 
......Architect technologist.......
3-bedroom (1-master bedroom)
Lounge (living room)
Dinning
Kitchen + store
Public toilet........
Follow allysstech on instagram for a good designing of buildings
Whatsapp/call:+255718-892233/+255752-392233View attachment 822319
Mbona hakuna ramani? Wewe ungesema picha za nyumba tu. Acha swaga.
 
Mleta uzi ni Mpumbavu kiasi kwamba hujawahi kugundua hilo "Nikuoneshe ukajenge" hivi kwa ufahamu wako unahisi wewe ndiye una ramani za watu bila wewe watu hawawezi kujenga nyumba?

Na hako karamani kama banda la bundi unaringa na kutoa kauli mbovu hivyo! Hatukatai kuwa ni taaluma ila unavyodhani wewe ukionesha hiyo ramani kwa usahihi basi nyumba zote nchini zitakuwa kama hako kabanda kako.

Jaribu kuwaza hata kwa kutumia maji kama akili hauna za kutosha. Pumbavu sana.

Mbao za mawe almaarufu Kaka Mkubwa
 
mkuu elimu yako ni ya pakistan ??? maana wa pakistan ni vilaza sana... ndio maana wana pata tabu sana huko Peshawar
Kwa taarifa yako wapakistani wameenda shule, usifikili kama sisi tunawaza kula all the time na kwenda toilet..sisi sio watu washule wala wa kufanya kazi.
 
Sasa mnamshambulia mleta uzi maana yake nini ndugu zanguni...kama huwezi comment pls soma ule kona..
Mkuu soma vizuri uzi mzima mleta mada wala hakushambuliwa na mtu yeyote bali amekuwa akilekebishwa tu namna ya Biashara mtandaoni mana anaoneaha bado hakuwa anafahamu jinsi watu wanavyofanya naimani kajifunza mengi ndo mana ka like hata hizo comment unazoona wewe kama kashambuliwa ni namna tu ya mafunzo kuna mafunzo ya polisi na jkt ni tofauti
 
Kwa taarifa yako wapakistani wameenda shule, usifikili kama sisi tunawaza kula all the time na kwenda toilet..sisi sio watu washule wala wa kufanya kazi.
ndio na kuambia sasa wapakistan ni sawa na wanafunzi wanao hitimu st. john, SAUT, KIU... na ma GPA makubwa lakini hamnazo...
 
We design, we construct and we consult any kind of buildings call/whatsapp for more info +255718892233 and follow insta @allysstech fir more views of designing
IMG_0598.JPG



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom