Ramani za nyumba za kisasa zaidi

Ramani za nyumba za kisasa zaidi

......Architect technologist.......
3-bedroom (1-master bedroom)
Lounge (living room)
Dinning
Kitchen + store
Public toilet........
Follow allysstech on instagram for a good designing of buildings
Whatsapp/call:+255718-892233/+255752-392233View attachment 822319
Hebu weka raman ya hili banda tuone kama vipimo umepatia, mana wasomi wa siku hizi nyie Mna msongo wa mawazo sana unaweza ukakuta nyumba haina mlango
 
Mkuu, mbona umeweka picha moja tu, tena ya nusu nyumba? Ungeweka picha kadhaa, hadi za ndani, tuone kama kweli ni ya "kisasa zaidi"
 
hilo bati mbona limelala sana, kama vile Dream liner. Nyumba haina geti. hawa vibaka wa tandale itakuwaje?.


Ramani zenyewe ziko wapi zaidi ya hiyo 3D picture (simulator)?.

kuwa serious basi.
 
Hebu weka raman ya hili banda tuone kama vipimo umepatia, mana wasomi wa siku hizi nyie Mna msongo wa mawazo sana unaweza ukakuta nyumba haina mlango
Niweke ili ukajenge au? Hii ni taaluma ya mtu Mzee
 
Hebu weka raman ya hili banda tuone kama vipimo umepatia, mana wasomi wa siku hizi nyie Mna msongo wa mawazo sana unaweza ukakuta nyumba haina mlango
Niweke ili ukajenge au? Hii ni taaluma ya mtu Mzee hii kazi kama kazi zingine
 
hilo bati mbona limelala sana, kama vile Dream liner. Nyumba haina geti. hawa vibaka wa tandale itakuwaje?.


Ramani zenyewe ziko wapi zaidi ya hiyo 3D picture (simulator)?.

kuwa serious basi.
Unataka nikuweke na raman kabisa kweli unaakili za wap ww?
 
Afande kagoma.

Sasa mi nikafikiri unauza ujuzi wako kwa kumuonyeshea mtu ili akutafute badala yake unaringa.

'Nikupe ukajenge' haiko kiungwana ungekua hata na ramani mbili za kuonyeshea tu ila hili jibu siyo mzee.

Halafu punguza majibu shit, mtu akiandika shit huna sababu ya kumrudishia kwakua hapa wewe una vingi at stake kuliko utakayemrudishia.

Hii ni kutoka kwa kijana mwenzako kwenda kwako kijana mwenzangu.
 
Afande kagoma.

Sasa mi nikafikiri unauza ujuzi wako kwa kumuonyeshea mtu ili akutafute badala yake unaringa.

'Nikupe ukajenge' haiko kiungwana ungekua hata na ramani mbili za kuonyeshea tu ila hili jibu siyo mzee.

Halafu punguza majibu shit, mtu akiandika shit huna sababu ya kumrudishia kwakua hapa wewe una vingi at stake kuliko utakayemrudishia.

Hii ni kutoka kwa kijana mwenzako kwenda kwako kijana mwenzangu.
Unajua kiongoz kuna watu ambao wanafanya kitu kwa kukusudia kabisa mtu kama huyo sidhani kama tunaendana mtu mpka anakutusi kweli?
 
Afande kagoma.

Sasa mi nikafikiri unauza ujuzi wako kwa kumuonyeshea mtu ili akutafute badala yake unaringa.

'Nikupe ukajenge' haiko kiungwana ungekua hata na ramani mbili za kuonyeshea tu ila hili jibu siyo mzee.

Halafu punguza majibu shit, mtu akiandika shit huna sababu ya kumrudishia kwakua hapa wewe una vingi at stake kuliko utakayemrudishia.

Hii ni kutoka kwa kijana mwenzako kwenda kwako kijana mwenzangu.
True ukizingatia ramani zake mbayaaa harafu kamoja tu kama bashite
 
Weka ya kwako bac tuione
Umeona wanavyoweka matangazo wenzio wanaojua wanachokifanya hawana muda wa kubishana na wateja wao kazi tu. Wewe uko busy kibishana nao wakati ndo wateja wako wenzio wanakufanya zuzu.


#we design
#we build
#we renovate
a three bed room house designs by 0654874702
contents
-master bed room with a dressing room
-two bed rooms(one self contained)
-studying room
-public washroom
-kitchen
-store
-dinning
-sitting room
-entry & kitchen veranda
#archdesigns#housebuilders#kijiko
***0654874702***


Unafikiri mtu kama huyo ataulizwa maswali ya kibuuzi kama inavyoulizwa wewe.
FB_IMG_1532971466689.jpg
FB_IMG_1532971413505.jpg
FB_IMG_1532971443265.jpg
FB_IMG_1532971450287.jpg
FB_IMG_1532971457550.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom