Kingdom_man
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 405
- 456
Wadau nahitaji ramani ya nyumba ya vyumba 3 kwa kiwanja cha 70/50, Msaada kwa anayefahamu kwa kuipata, au mwenye ramani ya kawaida ya 3bedroom house anitumie. Natanguliza shukrani
Bei gani unauza, naomba nitumie samples nione mdau!Unataka bure au?? Mi ninazo ila sitoi bure....
Asante mdau.Mimi nakushauri uende ofisi ya manispaa yeyote, uliza wachoraji wa ramani hapo utapata ramani nzuri iliyo na standard nzuri.
Asante sana ndugu haya ndio mambo sasa nimeclick link hiyo naona mansion tu hamna site ya normal 3bedrooms houses?!. Asante sana ZeMarcopoloJaribu kucheck hapa Plans & Prices | Home Designs | House Designs | Dixon Homes
Kujenga bongo uatakiwa kuwa creative, kama unajenga kwenye unsurveyed area huna haja ya kutafuta architect, angalia hizo plans then cheki jinsi gani unaweza kuboresha zikidhi mahitaji yako.
Ukitaka ushauri wa bure tutakupa hapa jukwaani.
Sawasawa mdau,hili wazo NZURI SANA. naweza pata mawasiliano yake!. Thanks alotKujenga kutumia foreign plans bongo inaweza kuwa difficult kidogo. Dar and bongo as a whole ina ma architect kibao - kuna mmoja yupo pale off of Lumumba jengo next to Durban hotel, unaingia kama kwa ndani hivi (actually ni sehemu ya kupaki gari) na unakuta ofisi yake na yeye ana ramani zake amedesign ametoa vitabu vitatu @15,000/-. You look at the ramani, unachagua unayoipenda na unanua structural/electrical etc plans na unaweza ukafanya naye modifications etc. A good place to begin.....also you are supporting a local entrepreneur, a good thing!
Sorry, nimesahau jina lake
Ngoja ntampigia huyu jamaa nisikie gharama zake, Asante Amafumuila kwa ushauri wa bure usiumie michoro ya google,na hata ukiupata mchoro unaotaka bado utahitaji umtafute architect for more modification zaidi utapoteza hela site na kuona bora ungemlipa hata hiyo laki 5 -6 huyo architect.if u dont mind mtafute huyu 0653312954
Kujenga kutumia foreign plans bongo inaweza kuwa difficult kidogo. Dar and bongo as a whole ina ma architect kibao - kuna mmoja yupo pale off of Lumumba jengo next to Durban hotel, unaingia kama kwa ndani hivi (actually ni sehemu ya kupaki gari) na unakuta ofisi yake na yeye ana ramani zake amedesign ametoa vitabu vitatu @15,000/-. You look at the ramani, unachagua unayoipenda na unanua structural/electrical etc plans na unaweza ukafanya naye modifications etc. A good place to begin.....also you are supporting a local entrepreneur, a good thing!
Sorry, nimesahau jina lake
Asante sana ndugu haya ndio mambo sasa nimeclick link hiyo naona mansion tu hamna site ya normal 3bedrooms houses?!. Asante sana ZeMarcopolo
Bei gani unauza, naomba nitumie samples nione mdau!
WaTz mko very creative...si useme tu kuwa ni wewe upo kwenye publicity?