Ramani vyumba 3 self +(study room, public toilet, store,dinning, sebule)

Ramani vyumba 3 self +(study room, public toilet, store,dinning, sebule)

Hizi ramani za wanafunzi wanaojifunza Auto CAD zinasumbua sana wakati wa ujenzi. Hasa kwenye vipimo, fundi anarekebisha sana makosa.

Nashauri mjenzi atafute mchoraji mzoefu wa ramani, ambaye ana practical experience za ujenzi wa nyumba. Si vyema kutumia hawa wanafunzi wa vyumbani ambao hata field hawaendi kutizama ukubwa wa mlango alio design ukoje.

Utapata ramani yenye mbwembwe nyingi lakini mwishowe inakuwa na makosa mengi sana ya kiufundi hasa kwenye vipimo.

Kumbuka ujenzi wa nyumba si wa majaribio.

Samahani SojoSojo; lengo si kukuharibia biashara yako bali ni kuwekana sawa kuepusha hasara.

Weka uzoefu wako hapa jamvini ukieleza wanunuzi watarajiwa mambo yafuatayo;
1)Umeifanya kazi hii kwa muda gani?
Elimu yako ikoje ?
2) Je kuna majengo yaliyosimama watu wanaweza kwenda kutizama na kuthibitisha kwamba ramani zako ndio zimetumika?
3)Je umesajiliwa na bodi yeyote kuifanya kazi hii?
4) Sifa nyingine yeyote ya ziada yenye kuweza kushawishi watu wakutumie wewe kwenye ramani na si mtu mwingine.
 
Karibu ujenge nami, huo ndo uhalisia
 

Attachments

  • 1419692991200.jpg
    1419692991200.jpg
    76.2 KB · Views: 1,457
investa.tz
sio vizuri kuhumu watu usio wajua, na mimi si mwanafunzi wa AutoCAD wa nyumbani kama unavyotaka kuwaaminisha watu bali mimi ni graduate engineer niliyesajiliwa na ERB kutoka chuo kikuu cha Ardhi mwenye uzoefu wa miaka 3 katika fani ya hii.


acha kupotosha watu.
1. graduate engineer kutoka chuo cha ardhi: chuo cha ardhi kimeanza kufundisha course ya civil engineering katika department ya Building economics juzi tu, na graduate kwa kwanza ni mwaka huu yani november 2014 ilifanyika diamond jubilee yani graduation ceremony.
2. usajili ERB: ili uwe umesajiliwa erb moja ya vigezo ni muda usiopungua miaka mitatu, na kwa civil/structural engineer mara nyingi uwe kwenye firm ya ujenzi au engineering consultancy. kama umesoma ardhi sijui umesajiliwa lini maana umemaliza juzi november
4. a registered civil/structural engineer ni mhitimu na msajiliwa katika taaluma ya engineering, architecture ni field nyingine na wanaiheshimu, na kufanya kazi pamoja na architects. registered engineer hawezi kua na hadhi ya laki moja. pia sijui we engineer yupi.. structural, civil, mechanical, ict etc.
4. nafkir jipange. architectural consultancy sio kirahisi kama ivo. kuweka picha na kujitangaza unafanya kazi kwa laki 1 tu. watu wanafanya real investments, wanaweka millions from loans, long time savings kujenga nyumba, usichukulie rahisi ivo.
5. nafkir japo nimekufungua macho, tafadhali naomba usitumie taarifa hizi kuzidi kudanganya wengine.
 
Samahani Sojosojo mimi ni mteja mtarajiwa, lakini naona hiyo plani ina viboxi vingi ambavyo sivielewi ni vya nini.

Sielewi zipi ni bedrooms na lipi ni jiko au dining.

Tafadhali tupatie maelezo ya ziada usinune ndiyo biashara inavyokwenda huwa ngumu hapo awali.
 
Pata ramani hii kwa shilling laki moja tu(100,000) contact 0758929087

Registered engineer with 3 good years of experience, doing work for 100,000/-?? this is stooping so low, dude.

ndo maana jamaa kaona unafaa kupewa 30,000/-
 
#cejo huyu jamaa alidhani Jf mahara pa watu wenye elimu ya #mulugo na wahuni kama yeye, afadhari umekuja kutuweka wazi ahsante
 
Hizi ramani za wanafunzi wanaojifunza Auto CAD zinasumbua sana wakati wa ujenzi. Hasa kwenye vipimo, fundi anarekebisha sana makosa.
Nashauri mjenzi atafute mchoraji mzoefu wa ramani, ambaye ana practical experience za ujenzi wa nyumba. Si vyema kutumia hawa wanafunzi wa vyumbani ambao hata field hawaendi kutizama ukubwa wa mlango alio design ukoje.

Utapata ramani yenye mbwembwe nyingi lakini mwishowe inakuwa na makosa mengi sana ya kiufundi hasa kwenye vipimo.

Kumbuka ujenzi wa nyumba si wa majaribio.

Samahani SojoSojo; lengo si kukuharibia biashara yako bali ni kuwekana sawa kuepusha hasara.

Weka uzoefu wako hapa jamvini ukieleza wanunuzi watarajiwa mambo yafuatayo;
1)Umeifanya kazi hii kwa muda gani?
Elimu yako ikoje ?
2) Je kuna majengo yaliyosimama watu wanaweza kwenda kutizama na kuthibitisha kwamba ramani zako ndio zimetumika?
3)Je umesajiliwa na bodi yeyote kuifanya kazi hii?
4) Sifa nyingine yeyote ya ziada yenye kuweza kushawishi watu wakutumie wewe kwenye ramani na si mtu mwingine.

Nakubaliana na wewe kwa asilimia 99 hawa jamaa wengi ni wanafunzi hawana uzoefu kabisa
 
investa.tz
sio vizuri kuhumu watu usio wajua, na mimi si mwanafunzi wa AutoCAD wa nyumbani kama unavyotaka kuwaaminisha watu bali mimi ni graduate engineer niliyesajiliwa na ERB kutoka chuo kikuu cha Ardhi mwenye uzoefu wa miaka 3 katika fani ya hii.

Hakuna graduate Wa Ardhi aliyesoma structural engineering kwa hiyo past three years unayosema.......we we umesoma environmental engineering...... Achana na majengo mkuu.....
 
inaonekana we jamaa ni mkurupukaji mi nimesema mimi ni graduate engineer niliyekuwa Registared ERB nadhani unajua before kuwa registared engineer lazima uwe registared as graduate engineer pia Kuna Environmental Engineer Ardhi iko long time pale Ardhi before haijaja civil engineering ambayo sisi tumeiacha ndo inaanza.

Anko unaonekana wewe ni misheni town.Naona unafosi hela ya viroba kwa ajili ya mkesha wa mwaka mpya.Hiyo ramani au picha ya nyumba? dimensions au descriptions ziko wapi?
 
inaonekana we jamaa ni mkurupukaji mi nimesema mimi ni graduate engineer niliyekuwa Registared ERB nadhani unajua before kuwa registared engineer lazima uwe registared as graduate engineer pia Kuna Environmental Engineer Ardhi iko long time pale Ardhi before haijaja civil engineering ambayo sisi tumeiacha ndo inaanza.

:embu soma maelezo yangu vizuri. nafaham level za kua usajili kama engineer.
-graduate engineer
-proffesional engineer
-consulting engineer.
umesema wewe ni graduate (umehitimu chuo) pili umesajiliwa na ERB (kuandikishwa kama graduate kwa kupeleka taarifa zako sio usajili, usajili ni kama proffesional, sio kitu cha kusema mbele za watu)
: kama umesoma environmental engineering na kama umesoma ardhi mbona huna heshima na fani za watu.. mimi nikifanya EIA, na waste plant design ntakua sikutendei haki.
: yani we una uwezo mkubwa kiasi cha kuhitimu degree tena engineering, alafu uka acquire knowledge ya architecture sijui wapi alafu tayari unafanya kazi za architects. heshimu taaluma za watu. ifanyie kazi taaluma yako itakulipa mbona vizuri tu.
 
investa.tz
sio vizuri kuhumu watu usio wajua, na mimi si mwanafunzi wa AutoCAD wa nyumbani kama unavyotaka kuwaaminisha watu bali mimi ni graduate engineer niliyesajiliwa na ERB kutoka chuo kikuu cha Ardhi mwenye uzoefu wa miaka 3 katika fani ya hii.

Mkuu sina nia ya kukuharibia biashara yako. Nimeweka tahadhari tu kwa wanunuzi sababu mimi ni muhanga wa ramani za wanafunzi wanaojifunza kazi. Nia njema ya kusaidia kutoa ajira kwa vijana wetu graduates iliniponza na kuingia hasara kubwa;
1) Marekebisho yalikuwa mengi mno
2) Niliishia kujenga nyumba kubwa kuliko nilivyopanga, especially kulingana na size ya kiwanja.
3) Kutafuta ramani mpya kulingana na jengo

Kwa kadhia kama hizo hapo juu, ndio sababu nashauri watu watumie wachoraji wazoefu na wasiangalie gharama tu kwani itaweza kuwagharimu.
 
Mkuu sina nia ya kukuharibia biashara yako. Nimeweka tahadhari tu kwa wanunuzi sababu mimi ni muhanga wa ramani za wanafunzi wanaojifunza kazi. Nia njema ya kusaidia kutoa ajira kwa vijana wetu graduates iliniponza na kuingia hasara kubwa;
1) Marekebisho yalikuwa mengi mno
2) Niliishia kujenga nyumba kubwa kuliko nilivyopanga, especially kulingana na size ya kiwanja.
3) Kutafuta ramani mpya kulingana na jengo

Kwa kadhia kama hizo hapo juu, ndio sababu nashauri watu watumie wachoraji wazoefu na wasiangalie gharama tu kwani itaweza kuwagharimu.

unachosema ni kweli na hua kinatokea hasa pale unaponunua ramani bila kuzingatia ukubwa wa kiwanja chako, ni vyema mtaalamu akafika site kupima kiwanja chako, or ukampa description za kiwanja chako.
 
kwa ramani mpya bei ni maelewano kulingana na design unayoitaka

Engieer should be able to make an estimate....anyway nitatafuta anayeweza kukadiria ili nianze kujiandaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom