Ramani mbalimbali za nyumba, for your wish!

Ramani mbalimbali za nyumba, for your wish!

Mkuu sizinga wewe ni jamii ya kanjanja..please acha kucheza na fani za watu...just ushauri tuu coz hizo kazi zinafanywa na professionals waliosomea architecture na wanaelewa vitu vingi sana zaidi ya kutengeneza tuu ramani ya nyumba kama unavyo-fanya wewe.

Angalizo... Jaribu kurudi vyuoni kasomee hiyo kitu naona kama una-interest kiasi flan na kwa kutumia easy to use softwares unatengeneza 3-ds na perspectives za majengo ila hiyo ni robo au theluthi ya architecture yote kwa ujumla.

Kasomee hii kitu uwe mzuri ... Hii bado haijitoshelezi kuja hapa kutangaza biashara...soma pia ethics za profession unayoipenda kuitumia....ni maoni endelevu kaka.
 
mkuu, nyumba ni nzuri, lakini mbona hazina choo na bafu.

Una ramani zilizo na permit ya manisipaa

muulize wewe bwana...mie naona wizi tuu unaendelezwa hapa na huyu bwana...vyumba vyooote vinaingiwa kupitia jikoni..kisha varandah ni kubwa kuliko hata vyumba vya kulala...masterbedroom watu wanatumia jiko kwa kujisaidia plus kuoga????

Huu ni wizi mtupu ...huyu bwana aje tumpe hata basics za design.

Pia ramani iliyopata permit ya manispaa ni mali ya mtu aliyeomba hicho kibali...mambo ya copyright yanahusika hapo...haruhusiwi mtu wa tatu kutumia ramani ya mtu mwengine pasipo kibali au idhini ya mwenye ramani yake.
 
Mkuu sizinga wewe ni jamii ya kanjanja..please acha kucheza na fani za watu...just ushauri tuu coz hizo kazi zinafanywa na professionals waliosomea architecture na wanaelewa vitu vingi sana zaidi ya kutengeneza tuu ramani ya nyumba kama unavyo-fanya wewe.

Angalizo... Jaribu kurudi vyuoni kasomee hiyo kitu naona kama una-interest kiasi flan na kwa kutumia easy to use softwares unatengeneza 3-ds na perspectives za majengo ila hiyo ni robo au theluthi ya architecture yote kwa ujumla.

Kasomee hii kitu uwe mzuri ... Hii bado haijitoshelezi kuja hapa kutangaza biashara...soma pia ethics za profession unayoipenda kuitumia....ni maoni endelevu kaka.

Mkuu labda haunijui au inakuuma kwa kiasi falni kutangaza soko hapa..kwa taarifa yako tu, mimi ni Qualified Civil Engineer ambapo nina 95% ya kozi ya architecture,(Nenda ERB ukaone profile yangu) na usifikiri nilisomea kwenye vyuo vyenu kanjanaja hivyo!!Na kitu nilichobakiza ilikuwa ni hiyo tu design ili kisiasa niwe permitted kwani kama Pro nishaqualify!!

Dont think kwamba hiyo ramani niliyoiweka ukafikiri unaweza do anything!!Huwezi!! Ni sampo tu hizo ambazo zina mapungufu mengi na yanayoonekana!! Nakupa tu views the way unavyotaka, na ndio maana nikasema its just a sample!! Kwa akili yako ndogo we umeona vyoo tu hamna...wakati technically na hata view ya kawaida kuna mambo mengi yamekosekana!!

Kwenye miradi yangu Nsa-design Ofisi za Project manager, nshadesign Culverts na zote zikawa approved na Clients through qualified consulting firm ambao walishindwa kudesign na kufanya mradi uchelewe, iingawa niliokoa jahazi!!

For Your information, nondo zangu zote nilizopitia through Design and Drawing steel Structure and Reinforced Concrete pamoja na computer method for analysing these structures ndizo niinazozishusha hapa!! Na pia nitawapa mpaka Quantity survey estimation and evaluation Based on BIM ambayo kwa nchi za watu inakuwa rahisi zaidi kuliko hapa bongo ambapo material mengi ya ujenzi tunayatoa uswahilini...Acha umburula wewe!!
 
Mkuu, nyumba ni nzuri, lakini mbona hazina choo na bafu.

Una ramani zilizo na permit ya manisipaa

Mkuu sio vyoo na bafu tu, kuna vitu vingi hamna...usije ukaniambia mbona dimensions hamna....hizo ni sample tu, ukitaka full sketch njoo tukubaliane, permit ya manispaa sina ila mara nyingi kama una design yako unaipeleka kule manispaa wanakupa permit baada ya kuipitia, nakupa pia warrant hamna malipo kufanyika mpaka nyumba iwe approved na manispaa yako ndipo tufanye transaction...Siezi weka kila kitu hapa online, nasema tena haiwezekani!! Hizo ni sample tu!!
 
muulize wewe bwana...mie naona wizi tuu unaendelezwa hapa na huyu bwana...vyumba vyooote vinaingiwa kupitia jikoni..kisha varandah ni kubwa kuliko hata vyumba vya kulala...masterbedroom watu wanatumia jiko kwa kujisaidia plus kuoga????

Huu ni wizi mtupu ...huyu bwana aje tumpe hata basics za design.

Pia ramani iliyopata permit ya manispaa ni mali ya mtu aliyeomba hicho kibali...mambo ya copyright yanahusika hapo...haruhusiwi mtu wa tatu kutumia ramani ya mtu mwengine pasipo kibali au idhini ya mwenye ramani yake.

Mkuu wacha kumwaga povu basi....kwani jikoni hivi ni nani asiyejua kuwa jiko na family toilets inabidi vikae sehemu separate?? kwani lazima ziwe attached na vyumba? Smtms inadidi ufiche upumbavu wako!! Well arranged documents should be in well organised agreements!!
 
Ok haina shida, ikiwa na muonekano wa namna hii utaipenda? It may look like that accordingly, hii ni sample tu ofcoz
vimkw9.jpg


2hxm42t.jpg
the kitchen is so big... i wanted four rooms(1 guest room,2 rooms for girls and boys and the master room. how much is the budget? na uwanja ukubwa gani?
 
Mkuu sizinga wewe ni jamii ya kanjanja..please acha kucheza na fani za watu...just ushauri tuu coz hizo kazi zinafanywa na professionals waliosomea architecture na wanaelewa vitu vingi sana zaidi ya kutengeneza tuu ramani ya nyumba kama unavyo-fanya wewe.

Angalizo... Jaribu kurudi vyuoni kasomee hiyo kitu naona kama una-interest kiasi flan na kwa kutumia easy to use softwares unatengeneza 3-ds na perspectives za majengo ila hiyo ni robo au theluthi ya architecture yote kwa ujumla.

Kasomee hii kitu uwe mzuri ... Hii bado haijitoshelezi kuja hapa kutangaza biashara...soma pia ethics za profession unayoipenda kuitumia....ni maoni endelevu kaka.

Hivi Autodesk Revit Architecture nayo ni ease go software? Au ArchiCad 17 from Graphsoft ni ease to use software?Manake hata haujui ni soft gani nilizotumia wakati kwa mtaalam yeyote akiona tu hizo drawings haihitaji kujiuliza ni soft gani...kwa mfano hizo contour pens nilizotumia moja kwa moja zinakupa type ya software nilizotumia...etlst sketchup ndo waweza sema ease go!! Lakini sio Revit!! Hembu jaribu hata kuchora wall moja kwa revit halafu uilete hapa kama we wasema ni ease go software!!
Jipange mkuu!!@Who Cares?
 
Endelea kutoa kasoro mkuu ni moja ya challenges anyway...usije sema hamna roof!! Who Cares?

akeg78.jpg
 
Last edited by a moderator:
the kitchen is so big... i wanted four rooms(1 guest room,2 rooms for girls and boys and the master room. how much is the budget? na uwanja ukubwa gani?

Ok mkuu usiwe na shaka hivyo vitu unavyovitaka wala hata havina shida...mkuu!! Kama upo tayari nianze hiyo project, uwanja ukiwa na 15 by 15 metres inatosha!! Budget yake depends na mahali ulipo!! Huku Mtwara ujenzi ni gharama sana!!
 
the kitchen is so big... i wanted four rooms(1 guest room,2 rooms for girls and boys and the master room. how much is the budget? na uwanja ukubwa gani?
NINA Project nyingi hii nilimpa mtu juzi naweza nikakuunganishia f Hembu icheck, be free, Nadhani ndio kitu unachokitaka daviey69

24qnyh0.jpg
 
Last edited by a moderator:
Ok mkuu usiwe na shaka hivyo vitu unavyovitaka wala hata havina shida...mkuu!! Kama upo tayari nianze hiyo project, uwanja ukiwa na 15 by 15 metres inatosha!! Budget yake depends na mahali ulipo!! Huku Mtwara ujenzi ni gharama sana!!
im in dar!
 
Nadhani serious buyer aingie PM tu tutafamishana zaidi
 
Mkuu labda haunijui au inakuuma kwa kiasi falni kutangaza soko hapa..kwa taarifa yako tu, mimi ni Qualified Civil Engineer ambapo nina 95% ya kozi ya architecture,(Nenda ERB ukaone profile yangu) na usifikiri nilisomea kwenye vyuo vyenu kanjanaja hivyo!!Na kitu nilichobakiza ilikuwa ni hiyo tu design ili kisiasa niwe permitted kwani kama Pro nishaqualify!!

Dont think kwamba hiyo ramani niliyoiweka ukafikiri unaweza do anything!!Huwezi!! Ni sampo tu hizo ambazo zina mapungufu mengi na yanayoonekana!! Nakupa tu views the way unavyotaka, na ndio maana nikasema its just a sample!! Kwa akili yako ndogo we umeona vyoo tu hamna...wakati technically na hata view ya kawaida kuna mambo mengi yamekosekana!!

Kwenye miradi yangu Nsa-design Ofisi za Project manager, nshadesign Culverts na zote zikawa approved na Clients through qualified consulting firm ambao walishindwa kudesign na kufanya mradi uchelewe, iingawa niliokoa jahazi!!

For Your information, nondo zangu zote nilizopitia through Design and Drawing steel Structure and Reinforced Concrete pamoja na computer method for analysing these structures ndizo niinazozishusha hapa!! Na pia nitawapa mpaka Quantity survey estimation and evaluation Based on BIM ambayo kwa nchi za watu inakuwa rahisi zaidi kuliko hapa bongo ambapo material mengi ya ujenzi tunayatoa uswahilini...Acha umburula wewe!!

MKUU SIZINGA....NATUMAI UMESAHAU KUWA JAMII FORUMS NI SEHEMU INAYOTAKA WATU WA-DARE TO TALK OPENLY..ila pia ni wajibu wako wakati una-talk openly "UKUMBUKE KUFICHA UPUMBAVU WAKO"...nayasema hayo kupitia upumbavu wako unaoji-contradict mwenyewe kama ifuatavyo:-

Mkuu labda haunijui au inakuuma kwa kiasi falni kutangaza soko hapa..NAKIRI KUWA SIKUJUWI NA PIA SIDHANI KAMA NAHITAJI KUKUJUWA ILA NACHANGIA HOJA ZANGU KULINGANA NA HOJA ZAKO ULIZOLETA HAPA JUKWAANI..NA PIA SIO INTENTION YA JAMII FORUMS WATU WAJUANA NDIO MAANA KWA WALE WACHACHE WANAOPENDA KUJULIKANA WANEAMUWA KUWA VERIFIED USERS, KUNIUMA KUWA UNATANGAZA BIASHARA YAKO HAPA SIDHANI KAMA INA-UKWELI WOWOTE UNLESS MIE NINGEKUWA NI COMPETITOR WAKO NA "UME-WIN TENDER YA KUTANGAZA BIASHARA JAMII FORUMS TENDER AMBAYO MIE PIA NILIKUWA NA BID "....

kwa taarifa yako tu, mimi ni Qualified Civil Engineer ambapo nina 95% ya kozi ya architecture,.....HAPA NAONA UNAANZA KUFICHUWA UPUMBAVU WAKO A QUALIFIED CIVIL ENGINEER MWENYE 95% ARCHITECTURAL COURSE INPUTS (Nenda ERB ukaone profile yangu.....PIA NAONA UNAENDELEA KUNIAGIZA WEWE QUALIFIED ENGINEER UNAYE-PRACTISE ARCHITECTURE NIENDE ENGINEERS REGISTRATION BOARD NIKAULIZIE PROFILE YAKO NA SIO KUENDA ARCHITECTS AND QUANTITY SURVEYORS REGISTRATION BOARD KUULIZIA REGISTRATION NAMBA YAKO NA PIA PRFILE)

na usifikiri nilisomea kwenye vyuo vyenu kanjanaja hivyo!( KWA BAHATI MBAYA SANA MIE SIO MUUMINI WA VYUO ILA NI MUUMINI WA ELIMU BORA NA INAYOMUWEZESHA MTU AU MWANADAMU KUYAKABILI MATATIZO NA CHANGAMOTO ZA MAISHA YAKE YA KILA SIKU KATIKA MAZINGIRA YANAYOMZUNGUKA...UKISOMEA UDAKTARI WA BINADAMU SAY HARVARD UNIVERSITY NA UKAWA DAKTARI MWANANYAMALA HOSPITALI NA WANANCHI WANAENDELEA KUFA NA WEWE UNAANGALIA HUNA CHA KUFANYA MIE NAONA KAMA HUJASOMA NA HAKUNA DAKTARI...KIKUBWA NI ELIMU ULIYONAYO KICHWANI INAKUSAIDIA VIP NA SIO SHULE ULIYOSOMEA)

Na kitu nilichobakiza ilikuwa ni hiyo tu design ili kisiasa niwe permitted kwani kama Pro nishaqualify!!(NAZIDI KUTHIBITISHA "UPUMBAVU ULIOSHINDWA KUUFICHA"...ULIBAKIZA DESIGN ILI UWE PERMITTED..KISIASA KUWA PRO ARCHITECT?...KWANINI USIENDE KUSOMA HIYO DESIGN FOR ATLEAST 5 YEARS KWENYE VYUO VINAVYOKUBALIKA ILI UWE REGISTERED KISIASA NA UFANYE AKITEKCHA KAMA MTAALAMU ANAYEFAHAMIKA...AU MPAKA U-DESIGN JENGO WATU WAFIE NDANI KWA KIPINDUPINDU KWAKUWA ARCHITECT HUKUWEKA VYOO...NA UMTIE HASARA CLIENT WAKO KWA KUDESIGN JENGO LA GHOROFA 10 USAHAU LIFT NA NGAZI?

Kwenye miradi yangu Na-design Ofisi za Project manager, nshadesign Culverts na zote zikawa approved na Clients through qualified consulting firm ambao walishindwa kudesign na kufanya mradi uchelewe, iingawa niliokoa jahazi!!

For Your information, nondo zangu zote nilizopitia through Design and Drawing steel Structure and Reinforced Concrete pamoja na computer method for analysing these structures ndizo niinazozishusha hapa!( now i can see..a qualified civil engineer na umeweka speciality zako hapa...nitakutafuta for steel structures na hasa large spans kama za godowns na miradi ya mahanga ya kutengenezea ndege...for sensitive designs especially those touching directly the lives of the ones we love the most "family" sikupendekezi ufanye..utatuulia familia)

! Na pia nitawapa mpaka Quantity survey estimation( nadhani kwa hapa kwetu nyie ma-engineer munatakiwa muiite "engineering estimates"...jaribu kuwasiliana na ma-engineer wa hapa nyumbani watakupa baadhi ya miongozo kidogo ya jinsi ya ku-behave kwenye profession zao maana unakuwa kama umesahau "ukifika roma unafanya kama wanavyofanya waroma...pia usisahau design za tanzania bado tunatumia "BS" british standard na watakupa pia design codes wanazotumia kwa concrete na steel )

and evaluation Based on BIM ambayo kwa nchi za watu inakuwa rahisi zaidi kuliko hapa bongo( please engineer activate your mode to operate ki-bongobongo..uzungu hapa sio mahala pake inaweza kukugharimu)

ambapo material mengi ya ujenzi tunayatoa uswahilini...Acha umburula wewe(ahahaaaa..civil eng..sizingaaa...sorry engineer umesema pia una-design box culverts?...hauna knowledge ya "bridges engineering" na large span steel structures jamaa zangu wanatafuta civil engineer wana mradi wa barabara wameupata utaanza soon mitaa ya sumbawanga)
 
MKUU SIZINGA....NATUMAI UMESAHAU KUWA JAMII FORUMS NI SEHEMU INAYOTAKA WATU WA-DARE TO TALK OPENLY..ila pia ni wajibu wako wakati una-talk openly "UKUMBUKE KUFICHA UPUMBAVU WAKO"...nayasema hayo kupitia upumbavu wako unaoji-contradict mwenyewe kama ifuatavyo:-

Mkuu labda haunijui au inakuuma kwa kiasi falni kutangaza soko hapa..NAKIRI KUWA SIKUJUWI NA PIA SIDHANI KAMA NAHITAJI KUKUJUWA ILA NACHANGIA HOJA ZANGU KULINGANA NA HOJA ZAKO ULIZOLETA HAPA JUKWAANI..NA PIA SIO INTENTION YA JAMII FORUMS WATU WAJUANA NDIO MAANA KWA WALE WACHACHE WANAOPENDA KUJULIKANA WANEAMUWA KUWA VERIFIED USERS, KUNIUMA KUWA UNATANGAZA BIASHARA YAKO HAPA SIDHANI KAMA INA-UKWELI WOWOTE UNLESS MIE NINGEKUWA NI COMPETITOR WAKO NA "UME-WIN TENDER YA KUTANGAZA BIASHARA JAMII FORUMS TENDER AMBAYO MIE PIA NILIKUWA NA BID "....

kwa taarifa yako tu, mimi ni Qualified Civil Engineer ambapo nina 95% ya kozi ya architecture,.....HAPA NAONA UNAANZA KUFICHUWA UPUMBAVU WAKO A QUALIFIED CIVIL ENGINEER MWENYE 95% ARCHITECTURAL COURSE INPUTS (Nenda ERB ukaone profile yangu.....PIA NAONA UNAENDELEA KUNIAGIZA WEWE QUALIFIED ENGINEER UNAYE-PRACTISE ARCHITECTURE NIENDE ENGINEERS REGISTRATION BOARD NIKAULIZIE PROFILE YAKO NA SIO KUENDA ARCHITECTS AND QUANTITY SURVEYORS REGISTRATION BOARD KUULIZIA REGISTRATION NAMBA YAKO NA PIA PRFILE)

na usifikiri nilisomea kwenye vyuo vyenu kanjanaja hivyo!( KWA BAHATI MBAYA SANA MIE SIO MUUMINI WA VYUO ILA NI MUUMINI WA ELIMU BORA NA INAYOMUWEZESHA MTU AU MWANADAMU KUYAKABILI MATATIZO NA CHANGAMOTO ZA MAISHA YAKE YA KILA SIKU KATIKA MAZINGIRA YANAYOMZUNGUKA...UKISOMEA UDAKTARI WA BINADAMU SAY HARVARD UNIVERSITY NA UKAWA DAKTARI MWANANYAMALA HOSPITALI NA WANANCHI WANAENDELEA KUFA NA WEWE UNAANGALIA HUNA CHA KUFANYA MIE NAONA KAMA HUJASOMA NA HAKUNA DAKTARI...KIKUBWA NI ELIMU ULIYONAYO KICHWANI INAKUSAIDIA VIP NA SIO SHULE ULIYOSOMEA)

Na kitu nilichobakiza ilikuwa ni hiyo tu design ili kisiasa niwe permitted kwani kama Pro nishaqualify!!(NAZIDI KUTHIBITISHA "UPUMBAVU ULIOSHINDWA KUUFICHA"...ULIBAKIZA DESIGN ILI UWE PERMITTED..KISIASA KUWA PRO ARCHITECT?...KWANINI USIENDE KUSOMA HIYO DESIGN FOR ATLEAST 5 YEARS KWENYE VYUO VINAVYOKUBALIKA ILI UWE REGISTERED KISIASA NA UFANYE AKITEKCHA KAMA MTAALAMU ANAYEFAHAMIKA...AU MPAKA U-DESIGN JENGO WATU WAFIE NDANI KWA KIPINDUPINDU KWAKUWA ARCHITECT HUKUWEKA VYOO...NA UMTIE HASARA CLIENT WAKO KWA KUDESIGN JENGO LA GHOROFA 10 USAHAU LIFT NA NGAZI?

Kwenye miradi yangu Na-design Ofisi za Project manager, nshadesign Culverts na zote zikawa approved na Clients through qualified consulting firm ambao walishindwa kudesign na kufanya mradi uchelewe, iingawa niliokoa jahazi!!

For Your information, nondo zangu zote nilizopitia through Design and Drawing steel Structure and Reinforced Concrete pamoja na computer method for analysing these structures ndizo niinazozishusha hapa!( now i can see..a qualified civil engineer na umeweka speciality zako hapa...nitakutafuta for steel structures na hasa large spans kama za godowns na miradi ya mahanga ya kutengenezea ndege...for sensitive designs especially those touching directly the lives of the ones we love the most "family" sikupendekezi ufanye..utatuulia familia)

! Na pia nitawapa mpaka Quantity survey estimation( nadhani kwa hapa kwetu nyie ma-engineer munatakiwa muiite "engineering estimates"...jaribu kuwasiliana na ma-engineer wa hapa nyumbani watakupa baadhi ya miongozo kidogo ya jinsi ya ku-behave kwenye profession zao maana unakuwa kama umesahau "ukifika roma unafanya kama wanavyofanya waroma...pia usisahau design za tanzania bado tunatumia "BS" british standard na watakupa pia design codes wanazotumia kwa concrete na steel )

and evaluation Based on BIM ambayo kwa nchi za watu inakuwa rahisi zaidi kuliko hapa bongo( please engineer activate your mode to operate ki-bongobongo..uzungu hapa sio mahala pake inaweza kukugharimu)

ambapo material mengi ya ujenzi tunayatoa uswahilini...Acha umburula wewe(ahahaaaa..civil eng..sizingaaa...sorry engineer umesema pia una-design box culverts?...hauna knowledge ya "bridges engineering" na large span steel structures jamaa zangu wanatafuta civil engineer wana mradi wa barabara wameupata utaanza soon mitaa ya sumbawanga)

we jamaa Una wizu Sana afu unapenda mipasho
 
we jamaa una wizu sana afu unapenda mipasho

ahahahaaaa...umejuwaje?...mie mdogo wake mzee yusufu..karibu travetine tunapiga bendi yetu kila alhamisi ladies free usihofu utaingia bure jinsia yako inakuruhusu.

we dare to talk openly
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom