Habari zenu wanaJF,
Simu yangu inaonyesha RAM yake inaelekea kujaa, nifanyeje ili niipunguze,maana kwa uelewa wangu RAM ikiwa kubwa ndo simu inaperfom faster, 383MB used 85MB free naomba msaada kwa anaejua.
Naona kama inaelekea kujaa!
futa baadhi ya data ambazo si za muhimu saaanaHabari zenu wanaJF,
Simu yangu inaonyesha RAM yake inaelekea kujaa, nifanyeje ili niipunguze,maana kwa uelewa wangu RAM ikiwa kubwa ndo simu inaperfom faster, 383MB used 85MB free naomba msaada kwa anaejua.
RAM imepigwa chini na ikavimba juu, hahahahaaa RAM imejaa.....