Rally Bwalya Simba wamepigwa mchana kweupe!

Tatizo ni huyo Mudi anajifanya kila kitu anajua
Kwa msimu wa pili mfululizo Simba Sc wanasajili mchezaji idara ya Kiungo kwaajili ya mechi za kimataifa halafu anakuwa galasa!

Wote ni mashahidi mnamkumbuka yule Msudan Sharif El Din "Mhogo Mchungu" alivyokuja kuwa flop. Sasa ni zamu ya kiungo wa Kizambia, Rally Bwalya nae alikuja kwa mbwembwe nyingi ila ameishia kuwa flop. Hajakidhi yale matarajio makubwa ya wapenda kandanda!

Klabu ya Simba ifike wakati wabadilike, badala ya kusajili magarasabya kigeni kwa bei nyingi ni heri wawape nafasi wazawa tu! Huwezi ukamnunua mchezaji kwa bei kubwa halafu mechi kama ya juzi ya Plateau anawekwa benchi na mchezaji mzawa kama Mzamiru Yassin!

Ni hayo tu, povu ruksa!
 
Kwa msimu wa pili mfululizo Simba Sc wanasajili mchezaji idara ya Kiungo kwaajili ya mechi za kimataifa halafu anakuwa galasa!

Wote ni mashahidi mnamkumbuka yule Msudan Sharif El Din "Mhogo Mchungu" alivyokuja kuwa flop. Sasa ni zamu ya kiungo wa Kizambia, Rally Bwalya nae alikuja kwa mbwembwe nyingi ila ameishia kuwa flop. Hajakidhi yale matarajio makubwa ya wapenda kandanda!

Klabu ya Simba ifike wakati wabadilike, badala ya kusajili magarasabya kigeni kwa bei nyingi ni heri wawape nafasi wazawa tu! Huwezi ukamnunua mchezaji kwa bei kubwa halafu mechi kama ya juzi ya Plateau anawekwa benchi na mchezaji mzawa kama Mzamiru Yassin!

Ni hayo tu, povu ruksa!
Best midfielder ever nchi hii waliopata tokea Ila kocha atammaliza hivi hivi
 
ana pasi ndefu za maana sana anapiga long balls vizuri,mechi na jkt kule dodoma uliona simba inavyotakiwa kuwa ikiwa na strikers wawili ile mechi ndiyo simba ninayoijua mimi baada ya hapo UKICHANGANYA MISUMARI +UJINGA W AKISHINGO=sielewielewi yanayoendelea
Unaakili na jicho kubwa sn
 
Tatizo wala sio Rally Bwalya.
Shida ni mfumo wa kocha. Tumeshuhudia jinsi Erasto Nyoni alivyokalishwa benchi na huyu kocha, Baada ya Nyoni kufanya vizuri kwenye timu ya Taifa ndio kocha kaumbuka na kuanza kumpa nafasi.

Wapo wachezaji wengine wanaoharibiwa kiwango chao na huyu kocha mfano Kahata, Gadiel na Kagere sio wabovu lakini kocha anakaribia kuua vipaji vyao.
Kumbe kishingo ni mchawi kabisaaaaaa
 
Bwalya ni kama alivyoanza Fraga.
Alianza kama m'bovu lakini kila anavyoondelea kucheza anaimarika vizuri.
Goli la pili aliassist yeye baada ya kupiga machine kali golikipa akatema Kapombe akamalizia nyavuni goli la pili.
Goli la tatu pia aliassist yeye baada ya kumpokonya mpira Chama na kudrive na kumpa John Boko aliye usindikiza nyavuni kiulaini kabisa goli la tatu.
Mchango wa Bwalya jana ulikuwa mkubwa sana.
 
Bwalya ni kama alivyoanza Fraga.
Alianza kama m'bovu lakini kila anavyoondelea kucheza anaimarika vizuri.
Goli la pili aliassist yeye baada ya kupiga machine kali golikipa akatema Kapombe akamalizia nyavuni goli la pili.
Goli la tatu pia aliassist yeye baada ya kumpokonya mpira Chama na kudrive na kumpa John Boko aliye usindikiza nyavuni kiulaini kabisa goli la tatu.
Mchango wa Bwalya jana ulikuwa mkubwa sana.

Kuweka rekodi sawa, goli la pili la alilofunga Shomari Kapombe ile sio assist yaani kwa kifupi hakuna assist kwakuwa golikipa wa timu pinzani alishagusa hivyo Shomari aligunga rebound ambayo haina assist!

All in all jana Bwalya alitakata sana, nadhani mechi ya jana itakuwa imemjengea hali kubwa sana ya kujiamini!
 
Kwa msimu wa pili mfululizo Simba Sc wanasajili mchezaji idara ya Kiungo kwaajili ya mechi za kimataifa halafu anakuwa galasa!

Wote ni mashahidi mnamkumbuka yule Msudan Sharif El Din "Mhogo Mchungu" alivyokuja kuwa flop. Sasa ni zamu ya kiungo wa Kizambia, Rally Bwalya nae alikuja kwa mbwembwe nyingi ila ameishia kuwa flop. Hajakidhi yale matarajio makubwa ya wapenda kandanda!

Klabu ya Simba ifike wakati wabadilike, badala ya kusajili magarasabya kigeni kwa bei nyingi ni heri wawape nafasi wazawa tu! Huwezi ukamnunua mchezaji kwa bei kubwa halafu mechi kama ya juzi ya Plateau anawekwa benchi na mchezaji mzawa kama Mzamiru Yassin!

Ni hayo tu, povu ruksa!

Form is temporary but Class is permanent!
 
Kuna mchezaji wa simba alikuwa amevaa namba 8 naomba kujua jina lake tafadhali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom