Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,095
- 4,059
Ingawa mechi ijayo Karick ataendelea kuisomamia Man United ila mechi inayofuata atakuwepo. Kocha wa Liverpool amesema ni hatua nzuri kwa Man U kumchukua kocha huyo kwani amefanya mengi kwenye mpira wa miguu.
Ikumbukwe Klop na Huyu kocha waliingia katika bifu kubwa wakati akiifundisha Shalk. Moja ya timu alizozitoa matopeni na kuzileta katika dunia ya ushindani ni Hoffenheim and RB Leipzin . Kocha anamiaka 63.
Hivi ni kweli ujio wa kocha huyu ni habari mbaya kwa timu zingine?
Ikumbukwe Klop na Huyu kocha waliingia katika bifu kubwa wakati akiifundisha Shalk. Moja ya timu alizozitoa matopeni na kuzileta katika dunia ya ushindani ni Hoffenheim and RB Leipzin . Kocha anamiaka 63.
Hivi ni kweli ujio wa kocha huyu ni habari mbaya kwa timu zingine?