kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 235
Natoa wito wa kumpunguzia Raisi wa JMT madaraka makubwa aliyonayo pamoja na kupunguziwa uwezo wa kuendelea kutaja majina kwa ajili ya kuteuwa viongozi na wakurugenzi mbali mbali. Vivile kuondoa wabunge kumi wanaoteuliwa na Raisi kwani hawana Tija.
Raisi akiachiwe wachache wa kuteua lazima waidhinishwe na bunge, na kuwe na njia za kuwatoa bila kumsubiria Raisi pale wanapochemsha kazi. Mawaziri wasiwe wabunge ili bunge liwe sehemu ya muhimili mmoja sio miwili.
Raisi akiachiwe wachache wa kuteua lazima waidhinishwe na bunge, na kuwe na njia za kuwatoa bila kumsubiria Raisi pale wanapochemsha kazi. Mawaziri wasiwe wabunge ili bunge liwe sehemu ya muhimili mmoja sio miwili.