Raisi Kikwete kama kawa

Raisi Kikwete kama kawa

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,209
MH.sana Raisi kikwete ni Raisi pekee aliye hudhuria mazishi ya baba wa Raisi mseveni hongera kwa kudumisha kawaida yako.
 
Alikuwa anahamu na safari sana, amefurahi sana huu msiba umempa sababu ya kutoka ikulu.
Miguu ilikua inamuwasha.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Alikuwa anahamu na safari sana, amefurahi sana huu msiba umempa sababu ya kutoka ikulu.
Miguu ilikua inamuwasha.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Naona mnavimba kwa hasira, nadhani mtakufa kwa stress mwaka huu.
 
Sioni cha ajabu hapo, maana hamjui ukaribu wao au urafiki wao binafsi.
 
Anaogopa kurudi upesi, anasubiri upepo mchafu wa matokeo ya form 4 upite. what a coward? shame!!!!!!!!!
 
MH.sana Raisi kikwete ni Raisi pekee aliye hudhuria mazishi ya baba wa Raisi mseveni hongera kwa kudumisha kawaida yako.

Kweli tumshukuru Mh Rais kutuwakilisha jambo la kufiwa si mchezo kwa viongozi wa ngazi za juu si jambo jema kususiana mambo kama hayo unatakiwa kuahirisha mengine yote. Kuhudhuria misiba ni kukuza DIPLOMASIA.


شكرا لكم السيد الرئيس جاكايا كيكويتي، بارك الله فيكم لطفك.

 
Who doesn't know that FastJet went kwenye msiba wa dingiake Museveni?Who doesn't know??
 
Hongera Raisi wetu watu watakufa midomo juu kwa umbeya la muhimu kazika kamaliza sasa endeleeni kuumia, kila afanyalo baya lipi bora kwenu hamuachi? watu tuache chuki za kisiasa bado hatujakomaa kisiasa tunaleata chuki za paka na panya tutaishia pabaya
 
Hongera Raisi wetu watu watakufa midomo juu kwa umbeya la muhimu kazika kamaliza sasa endeleeni kuumia, kila afanyalo baya lipi bora kwenu hamuachi? watu tuache chuki za kisiasa bado hatujakomaa kisiasa tunaleata chuki za paka na panya tutaishia pabaya

nimekupa LIKE kubwa mkuu..hujaiona?
 
Back
Top Bottom