Nimeshajua ratiba zake,anasafiri nje hata mwezi,akija ni ikulu kuonana na watu wachache then ziara mkoani moja then anapanda tena pipa,huyu jamaa akistaafu ataumwa sana,hataishi mda mrefu,msongo wa mawazo utammaliza,hawezi kutulia kama mkapa
Ukiona mkweree yuko mikoani ujue anazuga kwani anakuwa ameishapanga safari ya kwenda ng'ambo!!! Mganga wake alimrogea kwenye pipa ndio maana haishi kulikwea!!!!