Raisi KIKWETE Ahojiwa BBC Leo; asema Tatizo la Mgawo ni UKAME

Nataka kujua kama huo ukame wa TZ ni mkubwa kuliko ukame ulioikumba Kenya ? Je aliulizwa hilo swali pia? Uganda asilimia 50% ya umeme wake unakuwa supplied na Aggreko ambayo ni kampuni kutoka Scotland. Aggreko hawazalishi umeme wa maji. Tukumbuke uganda ni nchi iliyoko ukanda wa ikweta unaopata mvua nyingi sana na kwa karibu mwaka mzima na ilishtuka mapema kutotegemea mabwawa licha ya kuwa na mvua ya kutosha. Iweje sisi tunaoishi sehemu ambayo mvua hazitabiriki tunategemea mvua kuzalisha umeme kama si kukosa serikali yenye upeo wa kuona mbali?
 
Sasa huo ukame ni tanzania tuu!kenya uganda rwanda na burundi hawako EA
Nadhani ilo lingekuwa swali la msingi kwake
 
Inahitaji moyo sana kukaa na kumsikiliza hadi mwisho. Nchni za ajabu sana hizi hata Rais anakuwa corrupt?

Huyu mkwele ni fisadi nambali wani sintaona ajabu kuwa hata kwenye hizi hela za Jairo kuna mkono wake hivyo atamlinda kwa kila hali; nchi masikini inakuwa na viongozi wezi hii ni laana!!
 
jamani sisi wa Tz sijui twende wapi, kwa baba king'anizi hata baada ya kung'ang'ania bado haja gudua watz tunataka mabadiliko ya Kiakili, Kifikra, nadhani huyu Presda anadhani bado anaogoza Mabushi men ambao bado wanapigia TANU kura
 
Jiuzulu , hiyo degree ya kupewa utaiona chungu, ikulu siyo pango la kufanyia maharusi bali ni pahala patakatifu.
 
Mie nilibadilisha station...maana jamaa anaongea upupu sijawahi ona prezidar bwegebwege kama huyu...
 
WANA JF,

Nimefungulia BBC nikakuta JK akihojiwa kuhusu hali ya Umeme nchini. Nilichobahatika kumsikia ni kuwa haiwezekani kutatua tatizo la mgao ndani ya mwezi..tatizo kubwa ni upungufu wa maji , yaani ukame. Amesema serikali imetoa Oda kwa mitambo mipya inayokuja mwezi wa 12.! Kuhusu altenative energy kama umeme jua etc, kuongea kwake kulikuwa kama kubeza. Je kuna ya ziada wadau mmeyasikia tofauti na haya??. Maana nimekuta ndiyo anaishia.

Wasalaam


Duh! watu mna roho ngumu. mimi nikisikiaga anaanza kuongea huwa nafunga kabisa channel maana najua hakuna cha maana kitakachoongelewa hapo. lakini hata wewe najua hujaambulia lolote la maana
 
Nchi za pembe ya Afrika zimekumbwa na ukame wa kufa mtu, hatujasikia Kenya, Ethiopia, Eritrea ama Djibout wanamgao wa umeme. Simshangai JK kwa majibu yake ya kitoto kwa maswali magumu. Kama alisema "hajui chanzo cha umasikini wa watu wake" tutegemee nini? Akili yake hapo ndo imefika mwisho!
 
[h=6]BBC Swahili
Kikwete atoa ufafanuzi wa umeme: "Serikali haina uwezo wa kufanya mvua inyeshe" BBC Swahili - Habari - Kikwete atoa ufafanuzi wa umeme[/h]
app_2_2231777543_9553.gif
about an hour ago via Twitter · 13215 · Like · · @bbcswahili on Twitter
 
Nataka kujua kama huo ukame wa TZ ni mkubwa kuliko ukame ulioikumba Kenya ? Je aliulizwa hilo swali pia? Uganda asilimia 50% ya umeme wake unakuwa supplied na Aggreko ambayo ni kampuni kutoka Scotland. Aggreko hawazalishi umeme wa maji. Tukumbuke uganda ni nchi iliyoko ukanda wa ikweta unaopata mvua nyingi sana na kwa karibu mwaka mzima na ilishtuka mapema kutotegemea mabwawa licha ya kuwa na mvua ya kutosha. Iweje sisi tunaoishi sehemu ambayo mvua hazitabiriki tunategemea mvua kuzalisha umeme kama si kukosa serikali yenye upeo wa kuona mbali?

yaani mchango wako wakipewa ngereja na na jairo wakae kwa masaa 3 wauchambue wote watapata 0.5/100 maana kwao ulioyasema ni magic wao ni kuchangisha pesa,. nadhani hata aliehojiwa pia atapata 0.005/100
 
Ameongea kwa hasira sana nilipofurahi pale anapojitenga na serikali zilizopita kama vile zilitoka vyama vya upinzani eti megawatt 600 tu ndio zilizalishwa tangu uhuru lakini wao walivyoingia wamezalisha zaidi ya 36 na kitu kwa hiyo kazima tumpongeze ha ha ha hakujibu swali kabisa kwa nini nchi iko gizani amebaki anatoa mipango lukuki isiotekelezeka,leo nimethibitisha kuwa hatuana Raisi
 
Nataka kujua kama huo ukame wa TZ ni mkubwa kuliko ukame ulioikumba Kenya ? Je aliulizwa hilo swali pia? Uganda asilimia 50% ya umeme wake unakuwa supplied na Aggreko ambayo ni kampuni kutoka Scotland. Aggreko hawazalishi umeme wa maji. Tukumbuke uganda ni nchi iliyoko ukanda wa ikweta unaopata mvua nyingi sana na kwa karibu mwaka mzima na ilishtuka mapema kutotegemea mabwawa licha ya kuwa na mvua ya kutosha. Iweje sisi tunaoishi sehemu ambayo mvua hazitabiriki tunategemea mvua kuzalisha umeme kama si kukosa serikali yenye upeo wa kuona mbali?
sio kuona mbali tu hata karibu hawa hawaoni
 
mi sielewi ni kiongozi gani analopoka swala la mvua unahusisha na umeme?
Amesema Serikali haiwezi kuleta mvua ili mabwawa yajae maji.

Kwa kweli napata taabu sana kumwelewa Mkulu, masihara yamemjaa, kubeza waliomtangulia na wapinzani ndo anaona dili. Hii nchi ni yetu wote jamani, tusidharauliane kwa kuwa wengine tuko nje ya Chama Twawala.
 
Bora tungemchagua DOVUTWA na sera yake ya kununua silaha nyingi, labda ingetusaidia ku'conquer nchi nyngne na tupate huo umeme
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom