Michosho
JF-Expert Member
- Mar 17, 2012
- 662
- 651
Binafsi niseme kuwa mimi ni mtumishi wa umma.
Suala la watumishi kusubiri kila mwaka wapandishwe mshahara, imekuwa hoja ya kila mei mosi.
Binafsi nimevaa uhusika wa Rais na kuona hata Km ndo ningekuwa mm nisingeongeza mshahahara eti kwa msukumo wa watu wanasema nini.
Miradi ya sasa ya Vitega uchumi inayoendelea, ndilo suluhisho la maslahi madogo kwa wafanyakazi..
Uzalishaji ukianza, Serikali itakuwa na uwezo Mkubwa wa kupandisha mishahara pasipo kuwaza mishahara itapatakana vipi na wapi.
Kwa sasa km angeongeza, kweli ingekuwa mzigo mzito Kwan uzalishaji uko chini. Huwezi kulipa mishahara watumishi Kwa kukopa eti kuwafurahisha wafanyakazi... Hyo siyo sawa.
##Hongera mheshimiwa Rais John P. Magufuli kwa maamizi ya hekima na uzalendo.
Wasioelewa kazi yao ni kuponda tu.
Suala la watumishi kusubiri kila mwaka wapandishwe mshahara, imekuwa hoja ya kila mei mosi.
Binafsi nimevaa uhusika wa Rais na kuona hata Km ndo ningekuwa mm nisingeongeza mshahahara eti kwa msukumo wa watu wanasema nini.
Miradi ya sasa ya Vitega uchumi inayoendelea, ndilo suluhisho la maslahi madogo kwa wafanyakazi..
Uzalishaji ukianza, Serikali itakuwa na uwezo Mkubwa wa kupandisha mishahara pasipo kuwaza mishahara itapatakana vipi na wapi.
Kwa sasa km angeongeza, kweli ingekuwa mzigo mzito Kwan uzalishaji uko chini. Huwezi kulipa mishahara watumishi Kwa kukopa eti kuwafurahisha wafanyakazi... Hyo siyo sawa.
##Hongera mheshimiwa Rais John P. Magufuli kwa maamizi ya hekima na uzalendo.
Wasioelewa kazi yao ni kuponda tu.