MAGAMBA ni MAGAMBA TU. Magofuli hawezi kuongoza kwa maamuzi yake binafsi bila mwavuli wa chama.Lazima tufike mahali tuwe na akili Timamu. JK alipokuja kwa mara ya kwanza tulimuona ni mtu mzuri sana lakini mliona matokeo yake.Kwahiyo siamini kwamaba magofuli atakuwa na eneo lake nje ya CCM la kuongozea tusidanganyane. Watu wasiokuwa na msimamo utawajua. Siitaji kunywea mvinyo mpya kwenye Chombo cha zamani.