Rais wetu 2015 ni .....


Mkuu, umeongea ukweli. huyu jamaa anaurafiki na mafisadi, tatizo la mwanzisha thread anachotaka yy ni rais mchapakazi hata kama akiwa fisadi., ina maana hajaona kama dr slaa anatufaa kuwa rais?
 
Magufuli ni dalali muuza nyumba za umma! Kiukweli anajua kusimamia kila kitu anachoagizwa hata kama ni makosa! Mwacheni amalizie kuhesabu km za barabara!
 

shibuda
 
Hizi ni dalili za umaskini wenu wa fikra...ivi kwa nini mnawashwa mnashindwa kufanya kazi?mtakufa maskini kwa kuwaza urais...badilikeni.
 
wote magufuli na slaa hata wawe chama gani hawafai kwa tabia zao.ni watu ambao mtu akipata tabu au kulipiza wanaona raha

naomba usirudie tena kumlinganisha sla'a na maghufuli ....We need CDM +Slaa and not Maghufu+ccm? over
 
Magufuli is not good, and Slaa is not good either. They are all tempered. I propose Mr II a.k.a SUGU
 
Siamini kama mtu mwenye akili timamu anaweza kujadili watu badala ya mfumo....
 
hapo kijana Magnificient umenena hata mimi CHADEMA DAMU na Mwanachama kwa maoni yangu ndani ya CCM namuona MAGUFULI tu, but Kamati kuu ya MAGAMBA wanamwogopa sana kwamba akishika nchi atawabuluza mafisadi. tuombee wansimamishe uchaguzi ujao.
Nendeni CCM mkamuunge mkono aupate urais. Kwa nini muwe CHADEMA na mtu wenu yuko CCM? Opportunists.
 

Umeshanunuliwa wewe tayari.Ndo kwanza mwaka mmoja umepita tangu tumalize uchaguzi mkuu,na kuna miaka minne mbele.Ni mda muafaka wa viongozi kutekeleza aahadi zao.
 
hata awe msafi kama malaika, akitokea ccm tu ni mchafu kama shetani.
 
NGOJA NIWAAMBIE MAGUFULI ANAFAA KUWA WAZIRI MKUU RAIS PENGINE MUWE NA MHE.pINDA AMA MAKONGORO NYERERE,,DK SLAA PIA HAFAI KUWA RAIS COZ HANA BUSARA WALA HEKIMA ANA WAKE WENGI NDOA HANA ANACHUKUA WATOTO WA WATU BILA KUTOA MAALI,,PENGINE mHE.pINDA NA mAKONGORO ANGALAU WANAWEZA KUTUSAIDIA
 
Posti zingine wanatuma cdm kwa maslahi yao,,hii naona ni vijana wa cdm wanajifanya ccm bure kabisa
 
wote magufuli na slaa hata wawe chama gani hawafai kwa tabia zao.ni watu ambao mtu akipata tabu au kulipiza wanaona raha
mi naona we ndo unatufaa,,....au wanao au mkeo
 
People sometime they do change, he may change... Wengi mbona wanabadilika... Hata magufuli aweza badilika... Tena as you know politics anaweza badili chama ikibidi, ila tumpe muda tumsome kwa sasa, tusitumie sana historia ya nyuma kum-judge... Let us wait and see
 
Niliwahi kusema kitu hiki na leo kinaweza kutokea.
 
Nenda ukamuulize Magufuli atawachagua akina nani kua wasidizi wake, kibaya zaidi mfumo unaomchagua Magufuli ngani ya ccm ndo kibovu na kitu kibovu hakiwezi zaa chema hata siku moja.

Cha kushangaza kwa waTanzania kila siku wanalilia mfumo mbovu ndani ya ccm, hakiwezi kurekebishwa watu wakiwa ndani mpaka waondoke kwanza.

VOTE NO TO CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…