Rais Wamulike Tanesco Morogoro

Rais Wamulike Tanesco Morogoro

Mshikawezi Mwizi

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2013
Posts
751
Reaction score
375
Mheshimiwa Rais tunazitambua vema jitihada zako za kulipeleka Taifa kule ulikokusudia na kunakostahili. Mh. Rais wapo watendaji ambao bado wanapingana na jitihada zako, mfano mzuri ni wafanyakazi wa Tanesco Morogoro mjini. Wiki iliyopita siku ya jumatatu walifanya zoezi la kubadilisha mita za umeme za zamani katika baadhi ya maeneo na kuweka mita za luku. Zoezi hili lilienda vizuri japo ilipofika jioni siku hiyo ya jumatatu nyumba nyingi zilizofungiwa mita hizo za luku zilikumbwa na tatizo la kukatika kwa umeme. Kila aliyepatwa na tatizo hili alifika siku ya jumanne katika ofisi za Tanesco kutoa taarifa. Walichukua details na kuahidi kurudi kushughulikia tatizo , cha ajabu leo jumamosi lakini bado hawajafika maeneo hayo. Watu wengi wanakosa nishati hii ya umeme kwa uzembe wao. Tunaomba mamlaka husika ziwashughulikie kupitia shinikizo lako mtaalamu wa kutumbua majipu.
 
Wafikishie salamu hao Tanesco Morogoro kwamba hiki kimbunga cha HAPA KAZI TU hakiwatawaacha salama wezi,wazembe na wavivu.Wachukue tahadhari mapema kabla maafa hayajawadia.
 
Haya mashirika kama tanesco, TRA na huko bandari ndo inatakiwa waajiriwe kwa mikataba. Maana wanakera sana kwenye huduma zao, ufanisi zero kabisa kunata nata tu bureee ilihali hawatimizi majukumu yao.
 
Mheshimiwa Rais tunazitambua vema jitihada zako za kulipeleka Taifa kule ulikokusudia na kunakostahili. Mh. Rais wapo watendaji ambao bado wanapingana na jitihada zako, mfano mzuri ni wafanyakazi wa Tanesco Morogoro mjini. Wiki iliyopita siku ya jumatatu walifanya zoezi la kubadilisha mita za umeme za zamani katika baadhi ya maeneo na kuweka mita za luku. Zoezi hili lilienda vizuri japo ilipofika jioni siku hiyo ya jumatatu nyumba nyingi zilizofungiwa mita hizo za luku zilikumbwa na tatizo la kukatika kwa umeme. Kila aliyepatwa na tatizo hili alifika siku ya jumanne katika ofisi za Tanesco kutoa taarifa. Walichukua details na kuahidi kurudi kushughulikia tatizo , cha ajabu leo jumamosi lakini bado hawajafika maeneo hayo. Watu wengi wanakosa nishati hii ya umeme kwa uzembe wao. Tunaomba mamlaka husika ziwashughulikie kupitia shinikizo lako mtaalamu wa kutumbua majipu.

Kwa lalamiko kama hilo unatakiwa utoe taarifa TANESCO wakupe namba ya taarifa TB NO. Toa taarifa mita mpya inapofungwa inabidi iingizwe kwenye system
 
Sijui wale wafanyakazi wa pale walitolewa wapi???...naona kama wanafanana fanana kiutendaji
Unaomba kufungiwa umeme, unazungushwa zaidi ya 3 month unafikiri ni wa bure????? na hapo uko manispaa Je waliopo Kijijini?????
 
Kijijini watu wamekaazaidi ya mwaka na rushwa wamewapa. TANESCO Same wazembe sana. Wamechukua rushwa kwa wanakijiji cha Mwembe Barazani na ki zaidi ya mwaka hawajawekewa umeme.
 
hilo ni bomu jingine hizo meter za kufugwa juu ya nguzo ni fake chini ya kiwango!!!!nchi nzima watu wanalia
 
Haya mashirika kama tanesco, TRA na huko bandari ndo inatakiwa waajiriwe kwa mikataba. Maana wanakera sana kwenye huduma zao, ufanisi zero kabisa kunata nata tu bureee ilihali hawatimizi majukumu yao.

Mbona wanafanya kazi mkuu, kasoro ndogo ndogo zinatekebishika.
 
hilo ni bomu jingine hizo meter za kufugwa juu ya nguzo ni fake chini ya kiwango!!!!nchi nzima watu wanalia

Hizo mita sio fake kabla hazijafika nchini wataalamu huwa wanazifanyia uchunguzi
 
Mheshimiwa Rais tunazitambua vema jitihada zako za kulipeleka Taifa kule ulikokusudia na kunakostahili. Mh. Rais wapo watendaji ambao bado wanapingana na jitihada zako, mfano mzuri ni wafanyakazi wa Tanesco Morogoro mjini. Wiki iliyopita siku ya jumatatu walifanya zoezi la kubadilisha mita za umeme za zamani katika baadhi ya maeneo na kuweka mita za luku. Zoezi hili lilienda vizuri japo ilipofika jioni siku hiyo ya jumatatu nyumba nyingi zilizofungiwa mita hizo za luku zilikumbwa na tatizo la kukatika kwa umeme. Kila aliyepatwa na tatizo hili alifika siku ya jumanne katika ofisi za Tanesco kutoa taarifa. Walichukua details na kuahidi kurudi kushughulikia tatizo , cha ajabu leo jumamosi lakini bado hawajafika maeneo hayo. Watu wengi wanakosa nishati hii ya umeme kwa uzembe wao. Tunaomba mamlaka husika ziwashughulikie kupitia shinikizo lako mtaalamu wa kutumbua majipu.

Sio tanesco moro peke yake ni tanesco yote!!
 
Mheshimiwa Rais tunazitambua vema jitihada zako za kulipeleka Taifa kule ulikokusudia na kunakostahili. Mh. Rais wapo watendaji ambao bado wanapingana na jitihada zako, mfano mzuri ni wafanyakazi wa Tanesco Morogoro mjini. Wiki iliyopita siku ya jumatatu walifanya zoezi la kubadilisha mita za umeme za zamani katika baadhi ya maeneo na kuweka mita za luku. Zoezi hili lilienda vizuri japo ilipofika jioni siku hiyo ya jumatatu nyumba nyingi zilizofungiwa mita hizo za luku zilikumbwa na tatizo la kukatika kwa umeme. Kila aliyepatwa na tatizo hili alifika siku ya jumanne katika ofisi za Tanesco kutoa taarifa. Walichukua details na kuahidi kurudi kushughulikia tatizo , cha ajabu leo jumamosi lakini bado hawajafika maeneo hayo. Watu wengi wanakosa nishati hii ya umeme kwa uzembe wao. Tunaomba mamlaka husika ziwashughulikie kupitia shinikizo lako mtaalamu wa kutumbua majipu.

Jamani yani mnataka nchi nzima inyoooshwe kwa siku 20 tuu...???? duh! hatariiii......
 
Mbona wanafanya kazi mkuu, kasoro ndogo ndogo zinatekebishika.

we labda una bahati nao mkuu, lakini wengi humu wanalalamika kuhusu utendaji wao wa hovyo na namna wanavyomtreat mteja
 
Back
Top Bottom