son of a teacher
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 515
- 1,364
Najawa na imani na Rais wa Tff ndugu Wallace Karia ,hakika Tff ya sasa itakuwa na nidhamu .
1.Kipindi Karia akiwa makamu wa rais wa Tff alikuwa na mahusiano mabaya na rais wa wakati huo Jamal Malinzi na katibu mkuu Mwesigwa mpaka ilifika hatua kwa miezi hawazungumzi na haya yote tulielezwa kwenye vyombo vya habari na wao wenyewe walisema nakumbuka Bwana Karia aliulizwa na mwandishi wa efm kuhusu rais wake alijibu kwa miezi hawajazungumza na wala kupigiana simu japo wakiwa ofisi moja na sababu ilikuwa kutofautiana ki-uongozi taarifa muhimu walikuwa wanapeana kwa njia ya e mail .
Mwisho wa siku bwana Malinzi na mwesigwa wakashitakiwa kwa uhujumu uchumi na ubadhilifu wa mali za TFF bila kupepesa macho ni Wallace Karia ndiye alifichua uozo huo .
Leo taarifa zinasema Bwana Wambura makamu rais wa Tff amekutwa na kashfa 3 na kamati ya Tff ipo kwenye kikao kumjadili
Bwana Karia ni kama agent namfananisha na FBI agents Jared Randall na John Penza waliopandikizwa FIFA na wakaibua skendo ya Blatter na hatimaye kuangusha utawala uliojikita mizizi ya Blatter.
Karia ni kama pandikizi amefanya kazi serikalini muda mrefu na ndio maana kwenye uchaguzi alishinda kwa 95% na alipata sapoti na mkono wa kulia
Watumishi wa TFF kuweni makini ohoo mtapotea
1.Kipindi Karia akiwa makamu wa rais wa Tff alikuwa na mahusiano mabaya na rais wa wakati huo Jamal Malinzi na katibu mkuu Mwesigwa mpaka ilifika hatua kwa miezi hawazungumzi na haya yote tulielezwa kwenye vyombo vya habari na wao wenyewe walisema nakumbuka Bwana Karia aliulizwa na mwandishi wa efm kuhusu rais wake alijibu kwa miezi hawajazungumza na wala kupigiana simu japo wakiwa ofisi moja na sababu ilikuwa kutofautiana ki-uongozi taarifa muhimu walikuwa wanapeana kwa njia ya e mail .
Mwisho wa siku bwana Malinzi na mwesigwa wakashitakiwa kwa uhujumu uchumi na ubadhilifu wa mali za TFF bila kupepesa macho ni Wallace Karia ndiye alifichua uozo huo .
Leo taarifa zinasema Bwana Wambura makamu rais wa Tff amekutwa na kashfa 3 na kamati ya Tff ipo kwenye kikao kumjadili
Bwana Karia ni kama agent namfananisha na FBI agents Jared Randall na John Penza waliopandikizwa FIFA na wakaibua skendo ya Blatter na hatimaye kuangusha utawala uliojikita mizizi ya Blatter.
Karia ni kama pandikizi amefanya kazi serikalini muda mrefu na ndio maana kwenye uchaguzi alishinda kwa 95% na alipata sapoti na mkono wa kulia
Watumishi wa TFF kuweni makini ohoo mtapotea