Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said, amesema "Kama kuna jambo silipendi, ni kutoa furaha za watu. Najua kuna ndugu zangu ambao ni Simba na mimi ni Yanga. Bahati mbaya taasisi ambayo naishughulikia ni taasisi inayotaka matokeo, na kwa sababu ya ‘nature’ ya taasisi unalazimika kutafuta matokeo. Kwa hiyo mimi sifurahii kuwafunga Simba isipokuwa natekeleza wajibu wangu kama Mwenyekiti wa Young Africans."