Rais wa wanyonge iangalie Latra

Rais wa wanyonge iangalie Latra

kupe

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
1,036
Reaction score
330
Hivi hawa Latra kwanini wanakataa kutoa vibali vya muda kusafirisha abiria kwa ma. Bus yaliyokuwa yanasafirisha wanafunzi ikiwa shule zimefungwa . Kuna tatizo gani. Maana kwanza serikali utapata hela halal kwa watakaoomba hivyo vibali. Pia itaondoa usumbufu wa abiria hasa mida ya asubuhi na jioni. Pia itawasaidia wenye magari kulipa mikopo yao maana wengine hayo magari wamekopa na pia wanatakiwa kulipa kodi. Latra iache urasimu maana wananyima. Vibali. Halafu magari yakibeba abiria wanayavizia na kuchukua rushwa au kuyapiga faini nyingi sana. Rais hebu iangalie hii management ya Latra. Hivi kazi yao ni kukamata magari tu au
 
Back
Top Bottom