TANZIA Rais wa UAE Sheikh Khalifa Bin Zayed afariki Dunia, Rais Samia atuma Rambirambi

Ndugu zangu dunia imekumbwa na Msiba mzito Sana wa Sheikh Khalifa Bin Zayed, Rais wa UAE. Inna Lilahi wa Inna Ilayhi raji'un

====

Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (U.A.E) Sheikh Khalifa bin Zayed Al Nahyan amefariki, shirika la habari la Imarati WAM limeripoti muda mfupi uliopita na kusema amefariki akiwa na umri wa miaka 73.

"Wizara ya Masuala ya Rais ilitangaza kuwa kutakuwa na siku 40 za maombolezo rasmi na bendera nusu mlingoti na siku tatu kufungwa kwa Wizara na Mashirika rasmi katika ngazi ya shirikisho na Serikali za mitaa na sekta ya kibinafsi” taarifa imeeleza.

Sheikh Khalifa ambaye amekuwa akiugua kwa miaka kadhaa kulikosababisha kwa muda mrefu aache kujihusisha na shughuli za kila siku alimuachia mikoba kaka yake ambaye ni Mwanamfalme wa Abu Dhabi Mohammed bin Zayed ambaye ndiye ameonekana kama Mtawala kwa muda huo.

Sheikh Khalifa ambaye ni nadra kuonekana kwenye picha rasmi au kwenye hafla za umma kwa miaka mingi, alimrithi Baba yake na Mwanzilishi wa UAE Sheikh Zayed mnamo mwaka 2004, alipata kiharusi muongo mmoja baadaye na kumweka mbali na Watu tangu wakati huo.

View attachment 2222998
Abu Dhabi, UAE(CNN)Sheikh Khalifa bin Zayed Al Nahyan, the United Arab Emirates President whose modernization policies helped transform his country into a regional powerhouse, died on Friday aged 73, state media WAM said.

"The Ministry of Presidential Affairs mourn the people of the UAE, the Arab and Islamic nations, and the whole world. The leader of the nation and the patron of its march, His Highness Sheikh Khalifa bin Zayed Al Nahyan, President of the State, passed away to the Lord's side today, Friday, May 13," WAM said.

"The Ministry of Presidential Affairs announces an official mourning and flags to be flown at half-mast for the late His Highness Sheikh Khalifa bin Zayed Al Nahyan, may God have mercy on him, for a period of 40 days, starting today, and suspending work in ministries, departments, federal and local institutions, and the private sector for 3 days, starting today (Friday)," WAM said in a tweet.

Sheikh Khalifa's role had been largely ceremonial since he suffered a stroke and underwent surgery in 2014. His brother and Abu Dhabi's crown prince, Sheikh Mohammed bin Zayed, has been widely seen as the de-facto leader of the UAE, handling day-to-day affairs for the Gulf state.

Sheikh Khalifa was appointed as the second president of the UAE in 2004, succeeding his father and founder of the nation, Sheikh Zayed al Nahyan.

Born in 1948 in the Eastern Region of Abu Dhabi, Sheikh Khalifa was the eldest son of Sheikh Zayed. Prior to his role as president, he was crown prince of Abu Dhabi and headed Abu Dhabi's Supreme Petroleum Council, which drafts oil policy.

As president he headed one of the largest investment funds in the world, the Abu Dhabi Investment Authority, managing hundreds of billions of dollars in assets.

One of the world's tallest buildings, the Burj Khalifa, took on his name after the UAE government bailed Dubai out of its debt, and as a sports fan he supported the acquisition of English Premier League soccer club Manchester City.

View attachment 2223001
sa itakuaje, tumuulize msukule mkuu au ngoja tuone
 
Chief Hangaya mwenyewe atakwea pipa la ATCL akiongozana na Abdulhaman Kinana Makamu Mwenyekiti wa ccm na dalali wa UAE huko Mbugani Loliondo.
Wana udugu wa dami na Kikwete na Rostam sema kikweti kwa asilimia kubwa amefata rangi ya mama yake
 
Dakika chache zilizopita, dunia iko katika Maombolezo mengine tena baada ya aliyekuwa rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu kufariki dunia.

Kulingana na habari zinazoendelea kusambaa, amefariki baada ya kupata kiharusi. Rais sheikh khalifa bin Zayed alifariki akiwa na umri wa miaka 73.

Kwa hivyo taarifa ya vyombo vya habari vya serikali imetangaza siku arobaini za maombolezo na kazi kusimamishwa kwa siku tatu.

Viongozi mbalimbali wamejitokeza kuomboleza na nchi hiyo ikiwa ni njia ya kuwaonea huruma ndugu na dada zao. Umoja wa Falme za Kiarabu umeunda nafasi nyingi za kazi kwa majirani zao na nchi zingine ambazo raia wanakubalika vyema nchini.

Amani iwe na wananchi wote wa Falme za Kiarabu wanapopitia kipindi hiki kigumu.
 
Back
Top Bottom