Rais wa tz ni nani?

Rais wa tz ni nani?

moto ya mbongo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2009
Posts
496
Reaction score
371
WADAU INAVYOONEKA MKUU HANA SAUTI KABISA KUHUSU MALALAMIKO YA WTZ KUHUSU HII KAMPUNI HARAMU YA DOWANS
Imekaaje hii jamani?

Nawasilisha.
 
Mh,Jakaya Mrisho Kikwete,kuhusu kukaa kimya sijui sababu zake kwa kweli
 
Mh,Jakaya Mrisho Kikwete,kuhusu kukaa kimya sijui sababu zake kwa kweli

Lakini washa na huyu mbunge wa Igunga mbona anaonekana kuongoza nchi kwa remote control? Hasa pale anaposimama na kutetea malipo dhuluma ya Dowans kwa walipa kodi wa tz?
 
Mh,Jakaya Mrisho Kikwete,kuhusu kukaa kimya sijui sababu zake kwa kweli

Lakini washa na huyu mbunge wa Igunga mbona anaonekana kuongoza nchi kwa remote control? Hasa pale anaposimama na kutetea malipo dhuluma kwa walipa kodi wa tz?
 
Lakini washa na huyu mbunge wa Igunga mbona anaonekana kuongoza nchi kwa remote control? Hasa pale anaposimama na kutetea malipo dhuluma kwa walipa kodi wa tz?
kama vp tuingie barabarani,refa Monchuari machizi Segerea
 
Anamalizia kipindi chake cha uongozi msimdisturb mhe.rahis,atafanyaje kazi zoote zile wakati baraza la mawaziri mwalijua? Anafanya kazi bwana.
 
Lakini washa na huyu mbunge wa Igunga mbona anaonekana kuongoza nchi kwa remote control? Hasa pale anaposimama na kutetea malipo dhuluma kwa walipa kodi wa tz?

simpendi huyo kiumbe natamani ningekuwa na uwezo ningemrudisha kwao na kizazi chake chote kilichoko hapa
 
simpendi huyo kiumbe natamani ningekuwa na uwezo ningemrudisha kwao na kizazi chake chote kilichoko hapa

Afadhali yako ww mi nivuta hisia alipokuja St. Thomasi school huko Igunga mwaka 2000 kukampeni akiwa amevaa jinsi kama mhuni, nilimtwanga swali kuhusu ubovu wa barabara akanizawadia tsh. 1000/= eti nimeuliza swali ambalo lilikuwa kwenye mchakato wa Ilani zake, alaniwe huyu popo.
 
ni Rostam Aziz, JK pambo tu, gheresha flani, ndo mana ye kila saa kukenuakenua tu
 
Igunga penyewe pamekaa kama kijiji japo kuna mbuge tajiri.yaani hapo ndo pa kujiuliza ameshindwa kusaidia wilaya yake et aje saidia tz.hama kitu.
 
Wananchi wa Igunga wanamwamini kama Mungu, hv ubunge hujawekewa kikomo ili huyu jamaa aachane na siasa au ataendelea kuingoza tz akiwa uraiani?
 
simpendi huyo kiumbe natamani ningekuwa na uwezo ningemrudisha kwao na kizazi chake chote kilichoko hapa

Kwao ni IRAN, Inasemekana aliletwa na mama CT Mmwinyi akimsaidia kwny biashara zake akaunganishwa na familia 1 ya huko MWISI wilayani IGUNGA yenye asili ya kiburushi kama wajombaze, mbunge wa igunga alipo fariki alipigiwa debe na selikali ya mzee ruksa akawa mbunge tangu muda huo, na sasa amekuwa raisi wa jamhuri ya TZ asie rasmi kwa miaka 6 sasa! :A S 20::sick:
 
Rais ni huyu alievaa miwani wa upande wa kulia..............................................................................................

 
Mie naona kama Mheshimiwa anaogopa/hofu hivi kwa jamaa mwenye Kombati. au nimeona vibaya jamani.
 
Back
Top Bottom