LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,115
- 27,101
Gracious Maxence Melo
BIG UP @Maxence Melo
GorokoLeka
Sheria bora zinazomrudisha melo mahakaman kila uchao? Hakuna sheria bora hapa labda sheria ngowiKw hiyo km amempongeza?!! Tambua kuwa ubora wa jf,unategemea na umakini na ubora wa sheria za nchi na usimamizi bora wa vyombo vya hbr nchini.km jf ingeachwa na uhuru usiokuwa na mipaka.ikafanya mambo ya kipumbavu km mtoto asie na malezi,hata huko nje isingesifiwa.japo cna uhakika wa hicho ulichoandika.
Aaaaa wapi
Uko gizani kijana mdogo
President Buhari challenges African youths to champion anti-corruption war - Vanguard News NigeriaHii habari bila ya picha, link, au video clip ni udaku kama ulivyo udaku mwingine.