tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Ukweli unauma!! Ni kweli vyombo vyetu vya habari havina wabunifu wa kujadili hoja, nilitegemea waandishi wetu wangekuwa wanatoa somo zaidi katika inshu nyingi kuelimisha jamii badala yake karibia waandishi wote wanaegemea kwenye kuripoti habari kutoka kwa wanasiasa zaidi. Vyombo vya habari vijifunze namna ya kujenga hoja zikakubalika kwenye jamii badala ya kukimbilia/kutegemea wanasiasa na watu wengine waropoke ndiyo wapate habari za kuandika.
Alichokoza akajua tutakimbilia mahakama ya kimataifa akashangaa watu wanajipanga kwa vita!!hawataki story akaona heee hawa vipi mbona hawaendi mahakamani??
nimefuatilia sana matamko yake ya kila siku, nimegundua huyu mwanamke hana msimamo (kiherehere)... anyway ni matatizo ya wanawake
nimefuatilia sana matamko yake ya kila siku, nimegundua huyu mwanamke hana msimamo (kiherehere)... anyway ni matatizo ya wanawake
Huyo mhalalisha ushoga mbona vyombo vya kwao pia vilikuwa vikiegemea upande mmoja tu kwamba ziwa lote 100% ni lao je huo si uchochezi?