Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
nimegundua huyu mwanamke hana msimamo (kiherehere)... anyway ni matatizo ya wanawake
Excuse me!
nimegundua huyu mwanamke hana msimamo (kiherehere)... anyway ni matatizo ya wanawake
Excuse me!
Ukweli unauma!! Ni kweli vyombo vyetu vya habari havina wabunifu wa kujadili hoja, nilitegemea waandishi wetu wangekuwa wanatoa somo zaidi katika inshu nyingi kuelimisha jamii badala yake karibia waandishi wote wanaegemea kwenye kuripoti habari kutoka kwa wanasiasa zaidi. Vyombo vya habari vijifunze namna ya kujenga hoja zikakubalika kwenye jamii badala ya kukimbilia/kutegemea wanasiasa na watu wengine waropoke ndiyo wapate habari za kuandika.
Na hao wanasiasa anaowataja kuwa walinukuliwa na wanahabari wa Tanzania, ni WAPINZANI. Ikumbukwe kuwa JK alimwambia Joyce kuwa wapinzani ndio wanaoshabikia vita ! Sasa sijui Membe na EL ni wapinzani wa JK !!?
Mkuu, ukweli ndio huo. Jaribu kutafuta katika media jinsi rais wako alivyomwambia Joi. Maybe hujanielewa!Ha ha ha ha mkuuu. Udhaifu wa kufikiri huo!!! Tukisema dhaifu mnatuambia tuondoe hoja na kuomba miongozo.
Mku nimekuelewa haswa hiyo post yako hapa chini. Na nimekubaliana na wewe kuhusu media.Ha ha ha ha mkuuu. Udhaifu wa kufikiri huo!!! Tukisema dhaifu mnatuambia tuondoe hoja na kuomba miongozo.
Naunga mkono hija yako, tena na miguu kabisa. Zis iz Tansania.Na hao wanasiasa anaowataja kuwa walinukuliwa na wanahabari wa Tanzania, ni WAPINZANI. Ikumbukwe kuwa JK alimwambia Joyce kuwa wapinzani ndio wanaoshabikia vita ! Sasa sijui Membe na EL ni wapinzani wa JK !!?
Nilijibu kwa lugha ya fumbo mkuu. Nimekupat barabara.Mkuu, ukweli ndio huo. Jaribu kutafuta katika media jinsi rais wako alivyomwambia Joi. Maybe hujanielewa!
aache kelele zake,ye akae mkao wa kutandikwa tu akileta jeuri yake
My Take: Waandishi wa habari wa Tanzania wanaandika yale yanayosemwa na wanasiasa kuhusu suala la mpaka.
Yeah, kweli kabisa mkuu! Nilitegemea waandishi magwiji ya habari yangekaa chini na kuuelimisha umma umuhimu wa kuingia vitani na hasara za kuingia vitani. Walitakiwa watoe mifano ya nchi mbali mbali zilizowahi kupitia hatua kama hiyo, je zilifaidika au ni kusumbua wananchi wake? Tatizo ni kama mnavyojua, waandishi wengi wamewekwa mfukoni. Na pengine hawa wanasiasa wangekuwa wanajifunza kitu kutokana na ugwiji wa kuandika habari. Naimani kubwa kama tasnia ya habari itaamua kuuelimisha umma kuhusu jambo fulani, sidhani kama kutakuwa na kiongozi atakayekuwa juu ya sheria.....Kama MwanaHalisi wanavyo ripoti. Huku si kuwananga, bali ni KUSEMA UKWELI. Hata Ben Mkapa aklwa rais, alishawahi sema haya! Vibonzo vya kenya wakati fulani walishawahi sema haya pia. Kusema kweli, nilisoma yale walosema Membe, Sitta na Lowasa, SIKUONA mahali waliposema kuwa VITA INAKUJA! Kwa hiyo sensational reporting, ambayo inalenga kuuza habari, inaharibu HADHI ya habari hapa Tanzania.
Huyo mhalalisha ushoga mbona vyombo vya kwao pia vilikuwa vikiegemea upande mmoja tu kwamba ziwa lote 100% ni lao je huo si uchochezi?