Katika sheria za utumishi wa umma tunaambiwa kuwa Mtumishi wa Umma anaruhusiwa kuwa mwanachama wa chama cha siasa lakini haruhusiwi kujihusisha na shughuli zozote za kisiasa muda wa kutumikia majukumu ya kiutumishi.
Tarehe 1.4.2022 siku ya ijumaa kwa nyakati flani itakuwa ni siku ya kazi kwa watumishi wa umma, hata hivyo ni siku hiyo hiyo ambayo Rais wetu ataongoza mkutano mkuu wa CCM.
JE, KWA SHERIA ZA UTUMISHI WA UMMA YUPO SAHIHI?
Tarehe 1.4.2022 siku ya ijumaa kwa nyakati flani itakuwa ni siku ya kazi kwa watumishi wa umma, hata hivyo ni siku hiyo hiyo ambayo Rais wetu ataongoza mkutano mkuu wa CCM.
JE, KWA SHERIA ZA UTUMISHI WA UMMA YUPO SAHIHI?