Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,574
- 2,496
Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye ameongoza maelfu ya wakazi wa nchi hiyo katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa wabunge na madiwani huku akiwataka Warundi kutorudi katika machafuko ya vita vilivyosababisha raia wengi kukimbia nchi hiyo na watu wengi kupoteza maisha.