Rais wa Burundi aonya kutokurudia machafuko

Rais wa Burundi aonya kutokurudia machafuko

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,574
Reaction score
2,496
Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye ameongoza maelfu ya wakazi wa nchi hiyo katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa wabunge na madiwani huku akiwataka Warundi kutorudi katika machafuko ya vita vilivyosababisha raia wengi kukimbia nchi hiyo na watu wengi kupoteza maisha.
 
Back
Top Bottom