rais wa serikali ya wanafunzi udom amepinduliwa nyazifa hiyo kwa kashafa ya ubadhilifu wa fedha za wanafunzi mapinduzi yamefanyika asubuhi hii na raisi wa sasa ni Mpandalume s.j
Ikumbukwe kua rais aliepinduliwa ndio rais wa vyuo vikuu vyote Tanzania (TAHLISO)
ukusanyaji wa sign za wanafunzi unaendelea ili kubariki mapinduzi hayo