Rais Samia: Wizara ya Nishati iimarishe akiba ya kimkakati ya mafuta ili kujilinda dhidi ya misukosuko ya siasa za kidunia

Rais Samia: Wizara ya Nishati iimarishe akiba ya kimkakati ya mafuta ili kujilinda dhidi ya misukosuko ya siasa za kidunia

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771
Rais Samia Suluhu Hassan, akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa matanki ya kupokea mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam, tarehe 03 Machi, 2026 ametoa wito kwa Wizara ya Nishati kuimarisha akiba ya kimkakati ya mafuta ili kuongeza uwezo wa nchi kujilinda dhidi ya misukosuko ya kimataifa na nishati ikiwemo mabadiliko ya bei ya katika soko la dunia.

Ameongeza kuwa mgogoro unaondelea sasa hivi umepelekea imepandisha bei ya mafuta kwa 13% mpaka leo na hatujui hali itakavyoendelea.


 
Ila Tanzania bwana. Eti "jiwe la msingi la ujenzi wa matanki ya kupokea mafuta bandarini".
 
Samia anaongelea kupanda kwa mafuta nimwambie suala la kuuwa watanzania na kuteka maiti ni kubwa kuliko la mafuta.
 
Watanzania hawataumia kupanda kwa mafuta wataumia mauaji ya halaiki na serikali haramu kuteka maiti za watoto wetu

Suala la mauaji na kutekwa kwa maiti lishugulikiwe kwanza na wahusika wawajibishwe.
 
Back
Top Bottom