GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,130
Ni Wiki sasa Wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam ( nadhani na Kwingineko nchi nzima ) tumejikuta tunakatiwa Umeme hovyo hovyo na TANESCO huku Waziri husika ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na mwana SAUT Mwanza ( nikiwa mbele yake kwa miaka Miwili ) na mwana Simba SC Mwenzangu akiwa anabung'aa bung'aa tu.
au tumuombe Mtume wao Mwamposa Kesho katika Mkesha wake wa Vuka na Kila Kitu chako basi kama ana Jeuri hiyo atuombee kwa Mungu wake tumpate Waziri sahihi wa Wizara husika na Mkurugenzi Mkuu sahihi wa TANESCO.
Tanzania kununua Silaha ( hasa Miguu ya Kuku ) kungekuwa ni Jambo la kawaida nina uhakika kwa Kero za baadhi ya Taasisi ( tena zenye Umuhimu na Unyeti wake ) kwa Taifa na Watanzania nina uhakika kuna baadhi ya Watendaji Wahusika hivi sasa wangeshakuwa wameshayaanza Maisha yao Udongoni Makaburini.
Inakera sana TANESCO tumewachoka!!!!
au tumuombe Mtume wao Mwamposa Kesho katika Mkesha wake wa Vuka na Kila Kitu chako basi kama ana Jeuri hiyo atuombee kwa Mungu wake tumpate Waziri sahihi wa Wizara husika na Mkurugenzi Mkuu sahihi wa TANESCO.
Tanzania kununua Silaha ( hasa Miguu ya Kuku ) kungekuwa ni Jambo la kawaida nina uhakika kwa Kero za baadhi ya Taasisi ( tena zenye Umuhimu na Unyeti wake ) kwa Taifa na Watanzania nina uhakika kuna baadhi ya Watendaji Wahusika hivi sasa wangeshakuwa wameshayaanza Maisha yao Udongoni Makaburini.
Inakera sana TANESCO tumewachoka!!!!