Saint Anno II
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 4,198
- 14,607
Kama nguo ya kulalia unaenda kupanda nayo kwenye mwendokasi mimi nasema acha udungwe tu.
Vaa gauni lako la kumwagika uone kama kuna atakaekusogelea,mnavaa hovyo likija suala la madhara mnataka kila mmoja asimame na ninyi.
Vaa gauni lako la kumwagika uone kama kuna atakaekusogelea,mnavaa hovyo likija suala la madhara mnataka kila mmoja asimame na ninyi.