Mama Samia tatizo sio Tanzania ni wewe binafsi! kesi ni zako , lawama ni kwako sio nchi!!.
Serikali yako ndiyo inateka, imeuwa vijana, ina ufisadi mkubwa, inaiba kura kwa Watanzania. Usilaumu nchi nyingine kwa matatizo yako binafsi. umeajiri watoto wako, marafiki wa wezi wenzako halafu unasema kama vile tatizo ni Tanzania si kweli . Tatizo ni wewe. Kesi ya ICC sio ya Tanzania ni yako na wapambe na machawa wako
Serikali yako ndiyo inateka, imeuwa vijana, ina ufisadi mkubwa, inaiba kura kwa Watanzania. Usilaumu nchi nyingine kwa matatizo yako binafsi. umeajiri watoto wako, marafiki wa wezi wenzako halafu unasema kama vile tatizo ni Tanzania si kweli . Tatizo ni wewe. Kesi ya ICC sio ya Tanzania ni yako na wapambe na machawa wako