Sasa nyie hamtaki Rais atutenezee mabilionea? mailionea wapande wawe mabilionea, na vijana wawe kwenye mpango wa BBT, wawe mamilionea haraka sana.
Ndiyo maendeleo hayo.
Siyo kama alivyotufanyia Nyerere, kafunga kiwanda cha Matrekta akenda kutufungulia kiwanda cha majembe ya mkono na ya kukokota na ng'ombe. Sijuwi alidanganywa na nani, maana hata sielewi falsafa ile ya kufunga kiwanda cha matrekta kwenda kufunguwa kiwanda cha majembe ya mkono.
Wewe inakuingia akilini hiyo?