Rais Samia ni komandoo aliyeiva

Mganga ajigangi
 
Mtoto wa kiume unaishi kwa kujipendekeza pendekeza tu kummk.. hivi hili li nchi sijui lini wavijana yatakua na akili
 
Ndy maana hateuliwi kwenye ulaji ,mana unapokuwa Praise team, unayempraise toa na mifano ya mafanikio yake...Tantalilaaa wee uzee unaingia Wakumbozi unalamba joka tu.
 
Kuzaliwa nchi yenye wajinga wengi kuliko wenye akili timam ni sawa na kupewa adhabu kwa kosa ambalo hujalifanya!!
 
Komandoo wa tozo.
 
Komandoo wa tozo.
Tozo Ni kwa maendeleo ya Taifa letu,ndio maana kupitia tozo hozo tuliweza kujenga vituo vya Afya zaidi ya 234,vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20,kutoa Elimu bure Hadi kidato Cha sita,kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea pamoja na Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi katika mafuta.
 
Kumbe boss wewe bado ni kijana mdogo tu. Juzi nimeona clip yako unamsema Lisu, ha ha ha haaa.

Ulikuwa unajitahidi sana kupangilia maneno. Kwa level yako umejitahidi sana. Baada ya miaka 32 utakuwa umekomaa vizuri.

Hongera sana hoja zako huwa zinatukosha sana sisi wenye akili
 
Jinga tu
 
UshakulA national cake nini
 
Komandoo ambaye hajawahi hata kuruka kamba au kucheza mdako !
 
Komandoo ambaye hajawahi hata kuruka kamba au kucheza mdako !
Huwezi ukaelewa chochote maana umeshindwa hata kuelewa Ni kwanini mmeshindwa kujenga au kupaka hata rangi tu ya ofisi zenu za kupanga pale ufipa licha ya kupokea mamilioni ya Ruzuku kwa miaka mingi
 
Mimi nawasilisha hoja zangu kupitia jukwaa hili na siyo clip
 
Huwezi ukaelewa chochote maana umeshindwa hata kuelewa Ni kwanini mmeshindwa kujenga au kupaka hata rangi tu ya ofisi zenu za kupanga pale ufipa licha ya kupokea mamilioni ya Ruzuku kwa miaka mingi
Jikite kwenye uzi wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…