pumba tu hizi, imperialism ipo ya kutosha. Kuna nchi africa hii ambazo benki kuu zao ni tawi la benki kuu ya ufaransa.
Sisi kutumia shilingi kama thamani ya fedha yetu ni ubeberu wa kutosha, shilingi ndo fedha yenye thamani ndogo sana kwenye mtiririko wa fedha duniani.