nashicha
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 279
- 517
Rais wetu wa Tanzania nakuomba uwaangalie hawa mawaziri kama wana nia na matarajio yako ya mbeleni au wana yao na wanajipanga kivyao maana wao kwania zao sioni wakikusaidia kwa dhati kutoka kwenye mioyo yao.
Kila kukicha sekta zao zinakushushia lawama kwa Watanzania.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kila kukicha sekta zao zinakushushia lawama kwa Watanzania.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app