Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Februari 9, 2026, anatarajiwa kuwaapisha viongozi mbalimbali walioteuliwa hivi karibuni katika hafla itakayofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam kuanzia saa 5:00 asubuhi.
Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, viongozi hao ni Wakuu wa Mikoa, Makatibu Wakuu, Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Makatibu Tawala wa Mikoa, Manaibu Makatibu Wakuu, Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango pamoja na Balozi.
Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, viongozi hao ni Wakuu wa Mikoa, Makatibu Wakuu, Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Makatibu Tawala wa Mikoa, Manaibu Makatibu Wakuu, Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango pamoja na Balozi.