Rais Samia katika picha Tatu, uchukuaji Fomu ya Urais Uchaguzi 2015, 2020 na 2025

Rais Samia katika picha Tatu, uchukuaji Fomu ya Urais Uchaguzi 2015, 2020 na 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Jumamosi Agosti 9, 2025, Mwenyekiti wa CCM Dkt. Samia Suluhu amechukua fomu Tume Huru ya Uchaguzi kugombea Urais wa Tanzania akiwa na mgombea mwenza, Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi; hii ni mara ya tatu kwake kufika chombo hicho cha juu cha uchaguzi, safari hii ikiwa kubwa zaidi kuliko zilizopita.


IMG_5861.jpeg


Agosti 4, 2015 Dkt. Samia alifika tume ya taifa ya uchaguzi NEC akiwa akiwa kama mgombea wa nafasi ya Umakamu wa Rais huku akiambatana na mgombea Urais Hayati John Pombe Magufuli.

IMG_5860.jpeg

Agosti 6, 2020 Hayati Dkt. Magufuli alichukua fomu ya Urais aliambatana Dkt. Samia ambaye alikuwa Makamu wake wa Rais.
IMG_5859.jpeg

Hata hivyo Dkt. John Pombe Magufuli alifariki dunia Machi 17, 2021 akiwa na umri wa miaka 61 baada ya kuugua kwa muda mfupi.
 
Dr. Nchimbi amekaa kama mzee Mkapa.
 
Back
Top Bottom