Rais Samia ingilia kati changamoto ya maji na umeme Kata ya Moshono Jijini Arusha, unahujumiwa na watumishi wako

wankuru nyankuru

JF-Expert Member
Feb 11, 2019
491
763
Kumekuwepo na changamoto ya kukatika kwa umeme kwa takribani siku nzima katika Kata ya Moshono iliyopo jijini Arusha Kwa takribani mwezi mzima Sasa.

Sambamba na changamoto hiyo, kumekuwepo pia Kwa changamoto ya maji kwenye kaya za watu kwa takribani wiki ya pili Sasa.

Pamoja na changamoto hizo, wananchi hawajapewa sababu za kuwepo Kwa changamoto hizo.

Hata hivyo, kuna baadhi ya wananchi wamedai kuna uwezekano wa Taasisi za Tanesco na Auwsa kufanya hujuma hiyo kwa maslahi yao binafsi (upigaji). Hivyo uchunguzi ufanyike kubaini tuhuma hizo.

Na kipindi hiki tunaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ndiyo wanaanza kukata maji na umeme kitendo kinachotafsiriwa kuwa wanakufanyia hujuma.
 
Kama kawaida ya Watanzania ujinga ndio tatizo namba 1, mnashindwaje Ku jiroganize mkaelekea huko kuuliza sababu za umeme na maji kukutaka?
 
Ngozi nyeusi ina upumbavu wa milele.
FB_IMG_1692088108185.jpg
 
Kumekuwepo na changamoto ya kukatika kwa umeme kwa takribani siku nzima katika Kata ya Moshono iliyopo jijini Arusha Kwa takribani mwezi mzima Sasa.
Sambamba na changamoto hiyo, kumekuwepo pia Kwa changamoto ya maji kwenye kaya za watu kwa takribani wiki ya pili Sasa.
Pamoja na changamoto hizo, wananchi hawajapewa sababu za kuwepo Kwa changamoto hizo.
Hata hivyo, kuna baadhi ya wananchi wamedai kuna uwezekano wa Taasisi za Tanesco na Auwsa kufanya hujuma hiyo kwa maslahi yao binafsi (upigaji). Hivyo uchunguzi ufanyike kubaini tuhuma hizo.
Na kipindi hiki tunaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ndiyo wanaanza kukata maji na umeme kitendo kinachotafsiriwa kuwa wanakufanyia hujuma.
 
Kumekuwepo na changamoto ya kukatika kwa umeme kwa takribani siku nzima katika Kata ya Moshono iliyopo jijini Arusha Kwa takribani mwezi mzima Sasa.

Sambamba na changamoto hiyo, kumekuwepo pia Kwa changamoto ya maji kwenye kaya za watu kwa takribani wiki ya pili Sasa.

Pamoja na changamoto hizo, wananchi hawajapewa sababu za kuwepo Kwa changamoto hizo.

Hata hivyo, kuna baadhi ya wananchi wamedai kuna uwezekano wa Taasisi za Tanesco na Auwsa kufanya hujuma hiyo kwa maslahi yao binafsi (upigaji). Hivyo uchunguzi ufanyike kubaini tuhuma hizo.

Na kipindi hiki tunaelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ndiyo wanaanza kukata maji na umeme kitendo kinachotafsiriwa kuwa wanakufanyia hujuma.
hata baraa changamoto ndo hii hii
 
Bila kusashau kero ya Barabara za Kijenge-Mwanama- Engutoto..barabara hii ni mbaya nadhani kuliko zote ndani ya jiji la Arusha.Kero hii imefanya hata Hiace zinazohudumia njia hii nyingi ni MIKWECHE na ni chache..
Hakika wananchi tunateseka sana ..watu wanashindwa kufika maofisin kwa wakati..watoto wanachelewa shuleni..wagonjwa wanashindwa kufika Kituo cha Afya Moshono kirahisi
Ehee Mh Rais, TUSAIDIE barabara hii iwekwe lami
 
Back
Top Bottom