Rais Samia ifumbue kitendawili hiki cha watu kutekwa

Rais Samia ifumbue kitendawili hiki cha watu kutekwa

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
15,812
Reaction score
40,297
Taarifa za Mdude_Nyagali mwana JamiiForum mwenzetu kushambuliwa zimelishtua taifa hasa ukichukulia kwamba Mdude ni mwana demokrasia mahiri na mkosoaji wa serikali kwa uwazi ambae alipaswa kuchukuliwa kama mtoto inquisitive na sio mtoto poyoyo otherwise serikali yetu inayopendwa mno na wananchi iseme mdude Yuko wapi?

Tunaiomba serikali yetu sikivu chini ya mama SAMIA SULUHIU HASSANI ifumbue kitendawili hiki cha majaliwa ya Mdude.

Mama Rais Samia SULUHIU HASSANI wa jamhuri haujawahi kukemea haya mambo Toka kwa mfano LISU amekamatwa na Toka tamko lako la watu wa Dini kutoingilia siasa ndio yakatokea haya hii ni myriad sindicate ya kukumaliza mama tunakuombea jitoe kwa hili jikwamue ila tope hili linakugusa wewe kama mmeanza kuteka mnaowajua SIKU ya kuteka Wana JamiiForum .

Mama taifa haliko salama
Mama wanakudanganya
Mama wanakuseti

Jitoe mapema kabla njia mbalimbali hazijatumika.

Haiwezekani Magufuli apendwe na akumbukwe inamaana wewe mama umeshindwa kumu outsmart Magufuli pole sana.
 
Taarifa za Mdude_Nyagali mwana jamiiforum mwenzetu kushambuliwa zimelishtua taifa hasa ukichukulia kwamba mdude ni mwana demokrasia mahiri na mkosoaji wa serikali kwa uwazi ambae alipaswa kuchukuliwa kama mtoto inquisitive na sio mtoto poyoyo otherwise serikali yetu inayopendwa mno na wananchi iseme mdude Yuko wapi? Tunaiomba serikali yetu sikivu chini ya mama DR SAMIA SULUHIU HASSANI ifumbue kitendawili hiki cha majaliwa ya mdude. Mama Rais Samia SULUHIU HASSANI wa jamhuri haujawahi kukemea haya mambo Toka kwa mfano LISU amekamatwa na Toka tamko lako la watu wa Dini kutoingilia siasa ndio yakatokea haya hii ni myriad sindicate ya kukumaliza mama tunakuombea jitoe kwa hili jikwamue ila tope hili linakugusa wewe kama mmeanza kuteka mnaowajua SIKU ya kuteka Wana jamiiforum utajikuta unamteka mkweo.

Mama taifa haliko salama
Mama wanakudanganya
Mama wanakuseti
Jitoe mapema kabla njia mbalimbali hazijatumika.

Haiwezekani magufuli apendwe na akumbukwe inamaana wewe mama umeshindwa kumu outsmart magufuli pole sana.

Taarifa za Mdude_Nyagali mwana jamiiforum mwenzetu kushambuliwa zimelishtua taifa hasa ukichukulia kwamba mdude ni mwana demokrasia mahiri na mkosoaji wa serikali kwa uwazi ambae alipaswa kuchukuliwa kama mtoto inquisitive na sio mtoto poyoyo otherwise serikali yetu inayopendwa mno na wananchi iseme mdude Yuko wapi? Tunaiomba serikali yetu sikivu chini ya mama DR SAMIA SULUHIU HASSANI ifumbue kitendawili hiki cha majaliwa ya mdude. Mama Rais Samia SULUHIU HASSANI wa jamhuri haujawahi kukemea haya mambo Toka kwa mfano LISU amekamatwa na Toka tamko lako la watu wa Dini kutoingilia siasa ndio yakatokea haya hii ni myriad sindicate ya kukumaliza mama tunakuombea jitoe kwa hili jikwamue ila tope hili linakugusa wewe kama mmeanza kuteka mnaowajua SIKU ya kuteka Wana jamiiforum utajikuta unamteka mkweo.

Mama taifa haliko salama
Mama wanakudanganya
Mama wanakuseti
Jitoe mapema kabla njia mbalimbali hazijatumika.

Haiwezekani magufuli apendwe na akumbukwe inamaana wewe mama umeshindwa kumu outsmart magufuli pole sana.
Watakamatwa tu waharifu na kuchukuliwa hatua
 
Taarifa za Mdude_Nyagali mwana jamiiforum mwenzetu kushambuliwa zimelishtua taifa hasa ukichukulia kwamba mdude ni mwana demokrasia mahiri na mkosoaji wa serikali kwa uwazi ambae alipaswa kuchukuliwa kama mtoto inquisitive na sio mtoto poyoyo otherwise serikali yetu inayopendwa mno na wananchi iseme mdude Yuko wapi? Tunaiomba serikali yetu sikivu chini ya mama DR SAMIA SULUHIU HASSANI ifumbue kitendawili hiki cha majaliwa ya mdude. Mama Rais Samia SULUHIU HASSANI wa jamhuri haujawahi kukemea haya mambo Toka kwa mfano LISU amekamatwa na Toka tamko lako la watu wa Dini kutoingilia siasa ndio yakatokea haya hii ni myriad sindicate ya kukumaliza mama tunakuombea jitoe kwa hili jikwamue ila tope hili linakugusa wewe kama mmeanza kuteka mnaowajua SIKU ya kuteka Wana jamiiforum utajikuta unamteka mkweo.

Mama taifa haliko salama
Mama wanakudanganya
Mama wanakuseti
Jitoe mapema kabla njia mbalimbali hazijatumika.

Haiwezekani magufuli apendwe na akumbukwe inamaana wewe mama umeshindwa kumu outsmart magufuli pole sana.
Criminals must be arrested, huyo jamaa ana makosa mengi sana.
 
Watakamatwa tu waharifu na kuchukuliwa hatua
Mdude hakuwa muhalifu, alikuwa mkosoaji, so kama kukosoa kunahesabika kuwa uhalifu unaostahili adhabu ya kifo basi kama taifa tumefikia kubaya mno, tutegemee kuona vifo vingi zaidi, maana wakosoaji wanaongezeka kila kukicha, taifa lipo kwenye wakati mgumu sana.
 
Taarifa za Mdude_Nyagali mwana JamiiForum mwenzetu kushambuliwa zimelishtua taifa hasa ukichukulia kwamba Mdude ni mwana demokrasia mahiri na mkosoaji wa serikali kwa uwazi ambae alipaswa kuchukuliwa kama mtoto inquisitive na sio mtoto poyoyo otherwise serikali yetu inayopendwa mno na wananchi iseme mdude Yuko wapi?

Tunaiomba serikali yetu sikivu chini ya mama SAMIA SULUHIU HASSANI ifumbue kitendawili hiki cha majaliwa ya Mdude.

Mama Rais Samia SULUHIU HASSANI wa jamhuri haujawahi kukemea haya mambo Toka kwa mfano LISU amekamatwa na Toka tamko lako la watu wa Dini kutoingilia siasa ndio yakatokea haya hii ni myriad sindicate ya kukumaliza mama tunakuombea jitoe kwa hili jikwamue ila tope hili linakugusa wewe kama mmeanza kuteka mnaowajua SIKU ya kuteka Wana JamiiForum .

Mama taifa haliko salama
Mama wanakudanganya
Mama wanakuseti

Jitoe mapema kabla njia mbalimbali hazijatumika.

Haiwezekani Magufuli apendwe na akumbukwe inamaana wewe mama umeshindwa kumu outsmart Magufuli pole sana.
Raisi ni mnufaika wa utekaji, hujawahi soma Historia ya watawala hasa hapa Africa? Raisi ndio mnufaikaji au unazania mnufaikaji ni nani?
 
Taarifa za Mdude_Nyagali mwana JamiiForum mwenzetu kushambuliwa zimelishtua taifa hasa ukichukulia kwamba Mdude ni mwana demokrasia mahiri na mkosoaji wa serikali kwa uwazi ambae alipaswa kuchukuliwa kama mtoto inquisitive na sio mtoto poyoyo otherwise serikali yetu inayopendwa mno na wananchi iseme mdude Yuko wapi?

Tunaiomba serikali yetu sikivu chini ya mama SAMIA SULUHIU HASSANI ifumbue kitendawili hiki cha majaliwa ya Mdude.

Mama Rais Samia SULUHIU HASSANI wa jamhuri haujawahi kukemea haya mambo Toka kwa mfano LISU amekamatwa na Toka tamko lako la watu wa Dini kutoingilia siasa ndio yakatokea haya hii ni myriad sindicate ya kukumaliza mama tunakuombea jitoe kwa hili jikwamue ila tope hili linakugusa wewe kama mmeanza kuteka mnaowajua SIKU ya kuteka Wana JamiiForum .

Mama taifa haliko salama
Mama wanakudanganya
Mama wanakuseti

Jitoe mapema kabla njia mbalimbali hazijatumika.

Haiwezekani Magufuli apendwe na akumbukwe inamaana wewe mama umeshindwa kumu outsmart Magufuli pole sana.
Mzanzibari anakunywa mvinyo kufurahia kazi nzuri iliyofanywa na majambazi yake.
 
Taarifa za Mdude_Nyagali mwana JamiiForum mwenzetu kushambuliwa zimelishtua taifa hasa ukichukulia kwamba Mdude ni mwana demokrasia mahiri na mkosoaji wa serikali kwa uwazi ambae alipaswa kuchukuliwa kama mtoto inquisitive na sio mtoto poyoyo otherwise serikali yetu inayopendwa mno na wananchi iseme mdude Yuko wapi?

Tunaiomba serikali yetu sikivu chini ya mama SAMIA SULUHIU HASSANI ifumbue kitendawili hiki cha majaliwa ya Mdude.

Mama Rais Samia SULUHIU HASSANI wa jamhuri haujawahi kukemea haya mambo Toka kwa mfano LISU amekamatwa na Toka tamko lako la watu wa Dini kutoingilia siasa ndio yakatokea haya hii ni myriad sindicate ya kukumaliza mama tunakuombea jitoe kwa hili jikwamue ila tope hili linakugusa wewe kama mmeanza kuteka mnaowajua SIKU ya kuteka Wana JamiiForum .

Mama taifa haliko salama
Mama wanakudanganya
Mama wanakuseti

Jitoe mapema kabla njia mbalimbali hazijatumika.

Haiwezekani Magufuli apendwe na akumbukwe inamaana wewe mama umeshindwa kumu outsmart Magufuli pole sana.
Anakibri na roho ngumu huyo ndio maana hajawah kuongelea jambo lolote linalo fanana na hilo tangu awe rais
 
Mtekaji ni no. ONE (1). Ategue kitendawili alichotega yy mwenyewe ili iweje?
 
Hahaha yani hata majambazi wanao badili gear angani ukiwaambia waseme matukio waliyofanya au wanayofanya huwa hawasemi.

CCM /Mashetani hawawezi kuwa ndio watoa majibu/njia ya watu kwenda mbinguni.
 
Taarifa za Mdude_Nyagali mwana JamiiForum mwenzetu kushambuliwa zimelishtua taifa hasa ukichukulia kwamba Mdude ni mwana demokrasia mahiri na mkosoaji wa serikali kwa uwazi ambae alipaswa kuchukuliwa kama mtoto inquisitive na sio mtoto poyoyo otherwise serikali yetu inayopendwa mno na wananchi iseme mdude Yuko wapi?

Tunaiomba serikali yetu sikivu chini ya mama SAMIA SULUHIU HASSANI ifumbue kitendawili hiki cha majaliwa ya Mdude.

Mama Rais Samia SULUHIU HASSANI wa jamhuri haujawahi kukemea haya mambo Toka kwa mfano LISU amekamatwa na Toka tamko lako la watu wa Dini kutoingilia siasa ndio yakatokea haya hii ni myriad sindicate ya kukumaliza mama tunakuombea jitoe kwa hili jikwamue ila tope hili linakugusa wewe kama mmeanza kuteka mnaowajua SIKU ya kuteka Wana JamiiForum .

Mama taifa haliko salama
Mama wanakudanganya
Mama wanakuseti

Jitoe mapema kabla njia mbalimbali hazijatumika.

Haiwezekani Magufuli apendwe na akumbukwe inamaana wewe mama umeshindwa kumu outsmart Magufuli pole sana.
Last para is up for discussion
 
Back
Top Bottom