Rais Samia hapaswi kuitwa Daktari

Wazungu hawana wenge na hizo title iwe ni kwenye vyuo vikuu au kwenye siasa, wanapenda waitwe kwa majina yao ya awali bila hizo title......nafikiri ni kujaribu kuondoa matabaka kwenye jamii, ndo maana ukiwa majuu ni vigumu kutambua msomi ni yupi, tajiri ni yupi, ni kama wote wako kwenye hadhi sawa kimaisha.
 
Magufuli we ulisoma naye PhD? We bwege kweli, unajua kilichomwua Ben Saanane? Bora Samia anatunukiwa na vyuo vinavyotambulika, tena hadharani bila kificho. Tuambie huyo mfu wako alitunukiwa lini, we ulihudhuria akitunukiwa? Samia ana masters kutoka mojawapo ya chuo kikuu bora duniani "Manchester University" umesikia we bwege? Anayetoa degree yoyote ni chuo baada ya kuona umekamilisha vigezo. Hiyo chuki na wivu havitakuacha salama
 
Tanzania na Watanzania kwasasa hakuna Rais hapa. Kama atagombea huyu mkataeni kwa nguvu zote kwa faida ya kesho yetu
 
Samia kaishia FOM FOO.

Zenji.
 
"....wale watu wote aliokuwa akiwatumia kwenye missions zake za kuteka watu, kuwekea watu sumu, kutesa watu au hata kuwaua kikatili na kisha kutupa maiti zao zikiwa kwenye viroba, wote bado wapo hai".
Hiyo sentesi niliyonukuu si sahihi sana.
Nina ushahidi wa watu watatu katika ya hawa watu uliowazungumzia kuwa nao walishaenda zao.
 
Daktari mwenye vyeti vya kuunga unga daktari hata ishu ndogo ya mafuta na umeme vimemshinda labda dokta wa kienyeji.....By the way ndo mama yenu huyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sawa,basi bwanako ndio tutamuita dokta
 
Daktari mwenye vyeti vya kuunga unga daktari hata ishu ndogo ya mafuta na umeme vimemshinda labda dokta wa kienyeji.....By the way ndo mama yenu huyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acheni chuki nyie wala nguruwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…