Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,456
- 5,290
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema maendeleo ni mchakato wa hatua endelevu na hakuna awamu inayoweza kuyakamilisha yote.
Akizungumza leo kwenye mkutano wa kampeni Makunduchi, visiwani Zanzibar, Dkt. Samia amewashukuru wananchi kwa mshikamano waliouonesha katika kipindi cha miaka mitano iliyopita na kuwawezesha serikali kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo.
Akizungumza leo kwenye mkutano wa kampeni Makunduchi, visiwani Zanzibar, Dkt. Samia amewashukuru wananchi kwa mshikamano waliouonesha katika kipindi cha miaka mitano iliyopita na kuwawezesha serikali kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo.