Rais Samia atembelea mradi wa REA Simiyu

Rais Samia atembelea mradi wa REA Simiyu

PendoLyimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2014
Posts
1,059
Reaction score
1,133
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametembelea mradi wa nishati safi ya kupikia wa shule ya Sekondari ya Wasichana Simiyu iliyopo Bariadi mkoani humo na kupewa maelezo na Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga wakati akifungua shule hiyo leo tarehe 16 Juni, 2025

Mradi huo unahusisha usimikaji wa mfumo wa kupikia kwa kutumia gesi yaani LPG, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kupunguza utegemezi wa kuni na mkaa, hivyo kuchangia katika utunzaji wa mazingira na kulinda afya ya wanafunzi na walimu.

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetoa ufadhili wa kiasi cha Shilingi Shilingi Milioni 14 kwa ajili ya ujenzi na usimikaji wa miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika shule hiyo.

IMG-20250616-WA0124.jpg
IMG-20250616-WA0123.jpg

IMG-20250616-WA0125.jpg
IMG-20250616-WA0122.jpg
IMG-20250616-WA0119.jpg
 

Attachments

  • IMG-20250616-WA0120.jpg
    IMG-20250616-WA0120.jpg
    323.8 KB · Views: 15
  • IMG-20250616-WA0121.jpg
    IMG-20250616-WA0121.jpg
    529.3 KB · Views: 15
  • IMG-20250616-WA0117.jpg
    IMG-20250616-WA0117.jpg
    555.6 KB · Views: 12
  • IMG-20250616-WA0118.jpg
    IMG-20250616-WA0118.jpg
    281.4 KB · Views: 11
  • IMG-20250616-WA0116.jpg
    IMG-20250616-WA0116.jpg
    383.6 KB · Views: 13
  • IMG-20250616-WA0105.jpg
    IMG-20250616-WA0105.jpg
    225.9 KB · Views: 13
Back
Top Bottom