Rais Samia anendelea kuupiga mwingi sekta ya ajira

Rais Samia anendelea kuupiga mwingi sekta ya ajira

PendoLyimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2014
Posts
1,059
Reaction score
1,133
Baada ya Mama Kuupiga mwingi kwa Mwaka huu kwa kumwaga Maelfu ya ajira kwenye sekta za Huduma hasa Afya na Elimu kupitia utumishi ameendelea kuupiga mwingi kwa kupandisha madaraja na Vyeo Maelfu ya Watumishi.

Kama alivyosema Mama Nyumba ulioizoea kuihama Tabu sasa ameshindwa kuiacha adhma yake ya Ajira kwa Vijana na ni majuzi tu kupitia Maelekezo yake kama Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama tumeona kwa namna ambavyo vikosi vyetu vya Majeshi vimemwaga ajira ikiwemo Jeshi la Polisi Maelfu ajira zilitolewa, Jeshi la Magereza, Jeshi ya Zimamoto na Uokoaji na haikuishia hapo tu na Jeshi la Uhamiaji wakaona isiwe Tabu nao wakamwaga Ajira.

Tukasema Sasa Mhe Rais amepumzika kidogo kumbe usilolijua ni Sawa na Usiku wa Giza ni wiki hii ambapo Tunaona Chifu Hangaya na Mpira wake amehamia Kwenye Mashirika ya Umma ambapo ipo kama ifuatavyo.

Shirika la TANESCO walitoa Ajira

Taasisi ya kupambana na Rushwa (TAKUKURU )wamemwaga Ajira 350 bado sijatafakari kidogo

Juzi tena Sekretarieti ya Ajira ( Public Service Recruitement Secretariet ) kwa niaba ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wamwaga Ajira 1097 katika fani mbalimbali za Utaalamu na haya ni machache tu kati ya Mashirika Mengi yaliyofanya hivi .

Mimi nikadhani labda fursa wanapata tu sekta Rasmi au kupitia kuajiriwa moja kwa moja kumbe hata sisi wajasiriamali vijana nasi fursa zinatufuata huku tulipo na ni juzi tu kwenye ziara ya Chifu Hangaya na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan tuliona akikabidhi zaidi ya Milioni 300 kwa vikundi mbalimbali kwa vijana ,wanawake na wenye ulemavu katika Jiji la Arusha kama Mtaji wa kuwawezesha kujiajiri katika sekta na fursa Mbalimbali lakini pia kuwaongezea uwezo kwa kile walichaonzisha .

Kwa hakika Chifu Hangaya na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan hajaishia tu kwenye Uendelezwaji wa Miradi mikubwa ya kimkakati,uboreshwaji wa Huduma na miundombinu bali pia na Upatikanaji wa Ajira na mazingira bora ya Ajira kwa watanzania hasa vijana.

Kazi Iendelee
#TwendePamoja
 
CHIFU HANGAYA AENDELEA KUUPIGA MWINGI SEKTA YA AJIRA .
Na
Msemakweli Tz[emoji1241]

Baada ya Mama Kuupiga mwingi kwa Mwaka huu kwa kumwaga Maelfu ya ajira kwenye sekta za Huduma hasa Afya na Elimu kupitia utumishi ameendelea kuupiga mwingi kwa kupandisha madaraja na Vyeo Maelfu ya Watumishi .

Kama alivyosema Mama Nyumba ulioizoea kuihama Tabu sasa ameshindwa kuiacha adhma yake ya Ajira kwa Vijana na ni majuzi tu kupitia Maelekezo yake kama Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama tumeona kwa namna ambavyo vikosi vyetu vya Majeshi vimemwaga ajira ikiwemo Jeshi la Polisi Maelfu ajira zilitolewa ,Jeshi la Magereza ,Jeshi ya Zimamoto na Uokoaji na haikuishia hapo tu na Jeshi la Uhamiaji wakaona isiwe Tabu nao wakamwaga Ajira .

Tukasema Sasa Mhe Rais amepumzika kidogo kumbe usilolijua ni Sawa na Usiku wa Giza ni wiki hii ambapo Tunaona Chifu Hangaya na Mpira wake amehamia Kwenye Mashirika ya Umma ambapo ipo kama ifuatavyo ,,,,

Shirika la TANESCO walitoa Ajira

Taasisi ya kupambana na Rushwa (TAKUKURU )wamemwaga Ajira 350 bado sijatafakari kidogo

Juzi tena Sekretarieti ya Ajira ( Public Service Recruitement Secretariet ) kwa niaba ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wamwaga Ajira 1097 katika fani mbalimbali za Utaalamu na haya ni machache tu kati ya Mashirika Mengi yaliyofanya hivi .

Mimi nikadhani labda fursa wanapata tu sekta Rasmi au kupitia kuajiriwa moja kwa moja kumbe hata sisi wajasiriamali vijana nasi fursa zinatufuata huku tulipo na ni juzi tu kwenye ziara ya Chifu Hangaya na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan tuliona akikabidhi zaidi ya Milioni 300 kwa vikundi mbalimbali kwa vijana ,wanawake na wenye ulemavu katika Jiji la Arusha kama Mtaji wa kuwawezesha kujiajiri katika sekta na fursa Mbalimbali lakini pia kuwaongezea uwezo kwa kile walichaonzisha .

Kwa hakika Chifu Hangaya na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan hajaishia tu kwenye Uendelezwaji wa Miradi mikubwa ya kimkakati,uboreshwaji wa Huduma na miundombinu bali pia na Upatikanaji wa Ajira na mazingira bora ya Ajira kwa watanzania hasa vijana.



Kazi Iendelee
#TwendePamoja
20211017_114217.jpg
 
Kuweni na adamu jamani kwa Amiri Jeshi Mkuu. Chifu Hangaya ndo nini? Mods huu uzi ni wa kufutwa
 
Shida sio kumwaga hizo ajira, shida ni kuwa je hizo ajira zinawafikia walengwa yaan masikini choka mbaya wa huku chini?

Mbona tangu waanze kujitamba wanatia ajira sijawai muona mtu anakili wazi kuwa kapata zaid wanaishia kupanga foleni kwenye kufanya applications, wakat nafasi zilishakaliwa na watoto&ndugu za vigogo serikalini.
 
Kuweni na adamu jamani kwa Amiri Jeshi Mkuu. Chifu Hangaya ndo nini? Mods huu uzi ni wa kufutwa
Kawaida tu mbona! Kwani 'jpm' ni nini? Mbona hayati Magufuli tulikuwa tunamwita 'jiwe' na hakukuwa na tatizo lolote?!!!
 
Kuweni na adamu jamani kwa Amiri Jeshi Mkuu. Chifu Hangaya ndo nini? Mods huu uzi ni wa kufutwa
Jina lake la kichief hilo Mkuu, hata yeye mwenyewe alipokuwa Arusha juzi alijiita hivyo
 
shida sio kumwaga hizo ajira, shida ni kuwa je hizo ajira zinawafikia walengwa yaan masikini choka mbaya wa huku chini?

mbona tangu waanze kujitamba wanatia ajira sijawai muona mtu anakili wazi kuwa kapata zaid wanaishia kupanga foleni kwenye kufanya applications, wakat nafasi zilishakaliwa na watoto&ndugu za vigogo serikalini.
Upo very negative mkuu, akina Thomaso kama nyinyi ni ngumu sana kutoboa maishani
 
Umeandika kitu ambacho hukielewi mkuu hizo ajira zilizo tolewa huko kwenye vyombo vya ulinzi na usalama ulizipitia kuziona mapungufu yake au uliona tu taarifa humu kua kuna ajira zimetolewa?

#Nawaza huenda hata wewe hapo ulipo Ajira huna.
 
sikia najua hapo ulipo Maeneo yako kuna watu lukuki waliomaliza Vyuo kitambo sana wangapi wamepata Ajira kwenye hizo ulizo taja? kuachilia hizo za Ulinzi na usalama ambazo zinahitaji mtu aliepo JKT
 
Baada ya Mama Kuupiga mwingi kwa Mwaka huu kwa kumwaga Maelfu ya ajira kwenye sekta za Huduma hasa Afya na Elimu kupitia utumishi ameendelea kuupiga mwingi kwa kupandisha madaraja na Vyeo Maelfu ya Watumishi .

Kama alivyosema Mama Nyumba ulioizoea kuihama Tabu sasa ameshindwa kuiacha adhma yake ya Ajira kwa Vijana na ni majuzi tu kupitia Maelekezo yake kama Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama tumeona kwa namna ambavyo vikosi vyetu vya Majeshi vimemwaga ajira ikiwemo Jeshi la Polisi Maelfu ajira zilitolewa ,Jeshi la Magereza ,Jeshi ya Zimamoto na Uokoaji na haikuishia hapo tu na Jeshi la Uhamiaji wakaona isiwe Tabu nao wakamwaga Ajira .

Tukasema Sasa Mhe Rais amepumzika kidogo kumbe usilolijua ni Sawa na Usiku wa Giza ni wiki hii ambapo Tunaona Chifu Hangaya na Mpira wake amehamia Kwenye Mashirika ya Umma ambapo ipo kama ifuatavyo ,,,,

Shirika la TANESCO walitoa Ajira

Taasisi ya kupambana na Rushwa (TAKUKURU )wamemwaga Ajira 350 bado sijatafakari kidogo

Juzi tena Sekretarieti ya Ajira ( Public Service Recruitement Secretariet ) kwa niaba ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wamwaga Ajira 1097 katika fani mbalimbali za Utaalamu na haya ni machache tu kati ya Mashirika Mengi yaliyofanya hivi .

Mimi nikadhani labda fursa wanapata tu sekta Rasmi au kupitia kuajiriwa moja kwa moja kumbe hata sisi wajasiriamali vijana nasi fursa zinatufuata huku tulipo na ni juzi tu kwenye ziara ya Chifu Hangaya na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan tuliona akikabidhi zaidi ya Milioni 300 kwa vikundi mbalimbali kwa vijana ,wanawake na wenye ulemavu katika Jiji la Arusha kama Mtaji wa kuwawezesha kujiajiri katika sekta na fursa Mbalimbali lakini pia kuwaongezea uwezo kwa kile walichaonzisha .

Kwa hakika Chifu Hangaya na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan hajaishia tu kwenye Uendelezwaji wa Miradi mikubwa ya kimkakati,uboreshwaji wa Huduma na miundombinu bali pia na Upatikanaji wa Ajira na mazingira bora ya Ajira kwa watanzania hasa vijana.

Kazi Iendelee
#TwendePamoja
Ajira 1300??? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
sikia najua hapo ulipo Maeneo yako kuna watu lukuki waliomaliza Vyuo kitambo sana wangapi wamepata Ajira kwenye hizo ulizo taja? kuachilia hizo za Ulinzi na usalama ambazo zinahitaji mtu aliepo JKT
Zinawahitaji wote, walitoa maelekezo kwa walio nje na kambi namna ya kuomba. Kuhusu kutoonekana kama wameajiriwa ni kulingana na idadi kubwa mno ya wasio na ajira. Yani hata watu wakiajiriwa unaweza kuhisi ni uongo kwani wanaohitaji hizo ajira ni wengi mno alafu huwezi kuwajua mkuu.
Acha mama aendelee kupunguza mzigo alioachiwa na mtesi wake but kwa kasi hii kufika mpaka 2024 almost gap litakuwa limepungua mnoo kama siyo kuzibwa kabisa.
 
Kwa idadi ya wahitimu walioko mitaani hizo ajira ni chache sana acheni kusifia vitu visivyosifika
Panapostahili sifa,chifu Hangaya apewe jamani. Angalau chifu anaajiri hata hao kidogo kulingana na uwezo wa uchumi kuweza kuhimili hiyo wage bill.
 
Back
Top Bottom