Pre GE2025 LGE2024 Rais Samia anayo sifa ya kupiga kura Tanganyika?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
21,203
40,170
Nasikia Rais Samia Suluhu Hassan atazindua uandikishaji wapiga kura Serikali za mitaa Tanganyika.

Lakini Samia Hassan Suluhu ni Mzanzibari na masuala ya uchaguzi wa Serikali za mitaa si miongoni mwa mambo ya Muungano.

Jee ni sawa Mzanzibari kupiga kura kwenye uchaguzi ambao kiuhalisia unahusiana na watanganyika pekee?

Samia kutaka kuingia kwenye mambo ya kupiga kura Tanganyika wakati yeye ni Mzanzibari (Ana kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi) siyo uvunjivu wa Katiba?
 
Nasikia Rais Samia Suluhu Hassan atazindua uandikishaji wapiga kura Serikali za mitaa Tanganyika.

Lakini Samia Hassan Suluhu ni Mzanzibari na masuala ya uchaguzi wa Serikali za mitaa si miongoni mwa mambo ya Muungano.

Jee ni sawa Mzanzibari kupiga kura kwenye uchaguzi ambao kiuhalisia unahusiana na watanganyika pekee?

Samia kutaka kuingia kwenye mambo ya kupiga kura Tanganyika wakati yeye ni Mzanzibari (Ana kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi) siyo uvunjivu wa Katiba?
Kwanini yeye mwenyewe anasemaje?
 
Nasikia Rais Samia Suluhu Hassan atazindua uandikishaji wapiga kura Serikali za mitaa Tanganyika.

Lakini Samia Hassan Suluhu ni Mzanzibari na masuala ya uchaguzi wa Serikali za mitaa si miongoni mwa mambo ya Muungano.

Jee ni sawa Mzanzibari kupiga kura kwenye uchaguzi ambao kiuhalisia unahusiana na watanganyika pekee?

Samia kutaka kuingia kwenye mambo ya kupiga kura Tanganyika wakati yeye ni Mzanzibari (Ana kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi) siyo uvunjivu wa Katiba?
Atazindua uandikishaji wa wapiga kura,sio yeye kupiga kura,siku ya kupiga kura bado.Hata Rais wa nchi nyingine,angeweza kuzindua uandikishaji wapiga kura,sio.kupiga kura.
 
wabongo bana, sasa Samia ni mkaazi ya Dar es salaam kwa karibu miaka 15 bado munahoji uhalali wake wakupiga kura?
 
wabongo bana, sasa Samia ni mkaazi ya Dar es salaam kwa karibu miaka 15 bado munahoji uhalali wake wakupiga kura?
Elewa mantiki ya swali. Amesajiliwa Zanzibar kama mkaazi wa Zanzibar. Na uchaguzi wa Serikali za mitaa si sehemu ya mambo ya Muungano.
 
wabongo bana, sasa Samia ni mkaazi ya Dar es salaam kwa karibu miaka 15 bado munahoji uhalali wake wakupiga kura?
Rais Samia alipata nafasi ya kuwa mgombea mwenza wa Magufuli kwa sababu ni mzanzibari Serikali za Mitaa siyo miongoni mwa mambo ya Muungano. Akipiga kura huku Tanganyika atakuwa amekiuka sheria.
 
Nasikia Rais Samia Suluhu Hassan atazindua uandikishaji wapiga kura Serikali za mitaa Tanganyika.

Lakini Samia Hassan Suluhu ni Mzanzibari na masuala ya uchaguzi wa Serikali za mitaa si miongoni mwa mambo ya Muungano.

Jee ni sawa Mzanzibari kupiga kura kwenye uchaguzi ambao kiuhalisia unahusiana na watanganyika pekee?

Samia kutaka kuingia kwenye mambo ya kupiga kura Tanganyika wakati yeye ni Mzanzibari (Ana kitambulisho cha Mzanzibari mkaazi) siyo uvunjivu wa Katiba?
Yule bibi Yuko Jf kweli?
 
Back
Top Bottom